briz
JF-Expert Member
- May 8, 2013
- 4,275
- 19,110
Poa mpe hi mwambie nimemis uwepo wa ile avatar yake tu..Nashukuru kusikia upo poa ndugu angu.... Na sisi hapa tuko poa unasalimiwa na shemeji yako hapa...
Poa mpe hi mwambie nimemis uwepo wa ile avatar yake tu..Nashukuru kusikia upo poa ndugu angu.... Na sisi hapa tuko poa unasalimiwa na shemeji yako hapa...
Woooooo!! Ngoja nitairudia tenaHalafu kwenye hiyo movie Ne-yo yupo pia
Sasa si unasema anayetype ni amaizing?Hahahahah halafu mwisho anafanya oooooops...
Woooooo!! Ngoja nitairudia tena
Afu kuna kipindi nlikuaga namfananisha huyu dada na salma hayek
Eti naambiwa vituko vyake nafanana naye ndo maana nikapewa zawadi hiyo[emoji23] [emoji23] wakati mimi najiona walaaaa!!!
Hahahahaa tumia na simu yake bas kupost
Hahahaha labda. Unalishawahi kuiona Olympus has fallen. Sasa yule Rais kwenye ile movie ndo star kwenye hii movie ambayo Michelle Rodriguez yupo na Ne-yoEti naambiwa vituko vyake nafanana naye ndo maana nikapewa zawadi hiyo[emoji23] [emoji23] wakati mimi najiona walaaaa!!!
Hahahaha mwambie a log in basiHahahahah halafu mwisho anafanya oooooops...
Napenda sana nguo za kiafrika j umapili siku moja moja natupia ......nimegundua hata nyie wanaume mnapenda African culture siku nikilipuka hivyo weeee nitafotolewa kila saa na kanisani tutaenda wote siku hiyo[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Na ndiyo maana nilimuoa amaizing kwa ajili hiyo hakika inapendeza na ni mabinti wachache sana sasa hivi utakao wakuta wakipiga hivyo...Napenda sana nguo za kiafrika j umapili siku moja moja natupia ......nimegundua hata nyie wanaume mnapenda African culture siku nikilipuka hivyo weeee nitafotolewa kila saa na kanisani tutaenda wote siku hiyo[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hiyo sijaiona ila unanishawishi niitafuteHahahaha labda. Unalishawahi kuiona Olympus has fallen. Sasa yule Rais kwenye ile movie ndo star kwenye hii movie ambayo Michelle Rodriguez yupo na Ne-yo
Cool....niggaAdjee ma nigga?
Poa sana mkuu...Karibu kijiweni..Kazi zinanifanya niwe busy sana Makapuku wenzangu.. but now nawasalimu sanaaa
Karibu tena broKazi zinanifanya niwe busy sana Makapuku wenzangu.. but now nawasalimu sanaaa
Am here ma nigga, keep the fire burning....Poa sana mkuu...Karibu kijiweni..