Makapuku Forum

hizo korosho hata siku moja kuniletea binamu
....usikonde aunt yangu, mwaka huu wako lazima nikuletee au nikuelekeze pale Mlimani city ukachukue? nenda pale chagua kifuko kinachokutosha sema zimetoka kwenye shamba la binamu yako.

Wakisema ulipie waambie unatoka NEMC unapambana na kangomba
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…