MAYELE ATIMKA KWAO
.
Kinara wa mabao Ligi Kuu, Fiston Mayele wa Yanga atakosekana kwenye mechi za awali za Kombe la Mapinduzi 2023 zinazoendelea visiwani Zanzibar, kwa vile ametimkia kwao DR Congo kwa ruksa maalumu.
Kambole, Yacouba hao Zanzibar
.
Lazarus Kambole na Yacouba Songne ni miongoni mwa wachezaji 25 wa Yanga wameelekea Zanzibar kushiriki mashindano ya Mapinduzi. Kwa mujibu wa taarifa ni pendekezo la Kocha Nabi akiwa na matumaini nyota hao wakionyesha uwezo ndio itakuwa tiketi yao kurudishwa kikosini.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.