Bailly5
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 16,527
- 35,351
Kwisha habari yaoTeeeeeena
Kwisha habari yaoTeeeeeena
Angalia lakini, unaweza usipendwe badala yake ukasifika ubishi tuTeh teh
Ntaijarbu na mimi nione kama haifany kaz
Kuliko ligi kuu???huko chini kugumu sana
Ugua pole mkuu na ulale salamaWandugu kwema hapa? Namshukuru Mungu afya yangu inaimarika.
Niwatakie usiku mwema
Aaah
Tulikuwa tunatumia hata kisngizio cha kwenda kushabikia Yanga
Cjui itakuwaj namna ya kwenda Tanga tena
HahahaaAngalia lakini, unaweza usipendwe badala yake ukasifika ubishi tu
Kilichobaki uwaangalie tuYaan simba ndo hamna kitu
Nme wacheka mpaka stail za kuwacheka zmeisha
Mi nalipwa kwa mwaka...starehe navizia tuSi bora hata ningelipwa kwa wiki??
Nalipwa kwa mwezi ila napenda bata za weekend tu
Hapana ila ukipenda chongo utaita kengezaUmejuaje![]()
Mbona wifi yako ndo wa kabila hilo? Kwahiyo nimelishwa limbwata....
........
Boss mutoto kapiga 4
Habhaa wapHapana ila ukipenda chongo utaita kengeza
Hapana manake mi ni zaidi ya sugarNimekosa sukari....vipi unaweza kuwa mbadala??
Ha ha haUwe na huruma![]()
![]()
![]()
![]()
.........
duh mkuu unataka kusema ni makuli![]()
Mabinti wa Kitanga wana kamzigo halafu weupe
Ni shida
......
Km kipondo tulichompa Simba jike msimu huu kwa magoli ya jumlaBoss mutoto kapiga 4
mmhh basi hawafai yani wao wana "ta" badala ya "ma"I mean wana tako
![]()
![]()
![]()
.......

Usiku mwema wifiUck mwm