Makapuku Forum

Makapuku Forum

[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Nina madeniii ila naenjoy na maisha yangu yaaaani
 
[emoji3578] Farhan Jr

Anaweza akatokea Mtu akasema Mdhamini Mkuu kaweka mzigo mrefu kuliko Mwekezaji MO, wengine wataenda mbali watasema Simba wamepigwa ila sio kweli

MO alichokifanya ndani ya Simba ni kuipa timu thamani waliyokuwa nayo hii leo, kuifanya iwe taasisi ambayo kila kampuni inajisikia fahari kusaini nao mikataba, kwakuwa kuna SECURITY

Mafanikio ya Simba Afrika ni mikono yake na miamala yake, usajili, camping na mishahara ya wafanyakazi wote ni sehemu ya pesa zake, ndio thamani tunayosema

Ukifuatilia Roman Abramovich, hata Fahad Moshiri pale Everton thamani ya pesa waliyonunua timu haiendani na thamani ya sasa za klabu hizo, ni kwakuwa pesa ina tabia ya kuzalisha pesa

Hivi mnafahamu kuwa kwenye michuano ya Afrika pesa na posho zote zinatoka baada ya michuano kuisha? Maana yake ni nini? Maana ni kuwa gharama zote ni za MO na Makampuni ubia, lets agree amefanya kazi kubwa

MO deserves an applause ni basi tu sisi wenye vipato vyetu vya chini tuna nongwa mno[emoji3] hata Mimi kuna muda nanuna bila sababu, ni huu ufukara wetu tu[emoji3]
Screenshot_20220801-180613_OGInsta%2B.jpg
 
Bado mabao manne Neymar Jr awe mfungaji bora wa muda wote wa timu ya taifa ya BRAZIL, bado mabao matatu tu aifikie rekodi ya Pele kwa Brazil.

Sijui nyie ila sisi wenyewe Wabrazil halisi tunasema huyu ndie mchezaji bora wa muda wote kwa hoja za KITAKWIMU bila mahaba[emoji3]

Mtaanza kuwataja wakina Dinho hapa, nawaelewa sana ila nitaomba takwimu kwenye jezi hiyo hiyo ya Brazil, asanteni sana[emoji3]

Acha maneno weka takwimu, yani mchawi NAMBA
Screenshot_20220801-180723_OGInsta%2B.jpg
 
Thamani ya Simba imeongezeka mara dufu Baada ya @moodewji kuwekeza [emoji3578]
Screenshot_20220801-182321_OGInsta%2B.jpg
 
Unaambiwa huko Misri Zoran hataki kuwaona wachezaji wake wanakaa na mpira kwa sekunde nyingi, pasi inapotezwa bila sababu, kukosa usahihi wa kupeleka mpira pale anapokuwa mchezaji kwa uharaka.
Screenshot_20220801-182455_OGInsta%2B.jpg
 
Back
Top Bottom