Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,400
- 465,167
Auntie eenh siku tupange tu kijiwe mishikaki hakuna namna[emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]
Auntie eenh siku tupange tu kijiwe mishikaki hakuna namna[emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]
hahahahaha,unafaa kukaa kasai drc[emoji23][emoji23][emoji23] Yaani auntie na huu uroho nimelishwa sana nyama za mbwa kikubwa uhai tu
Weeh ndio kuna nini huko we mzeehahahahaha,unafaa kukaa kasai drc
hahahahaha,watu wanakulaya umbwaWeeh ndio kuna nini huko we mzee
Kabisa AuntieAuntie eenh siku tupange tu kijiwe mishikaki hakuna namna
[emoji23][emoji23][emoji23] Sasa we mzee hao si wanajua nyama wanakula ni ya mbwahahahahaha,watu wanakulaya umbwa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Yaaani ebu tutafute siku auntie ujue maisha ndio hayahayaKabisa Auntie
Hizi nyama zitatuua Wallah[emoji28]
Kabisa Auntie....[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Yaaani ebu tutafute siku auntie ujue maisha ndio hayahaya
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23] Sasa we mzee hao si wanajua nyama wanakula ni ya mbwa
Sasa me nakula vimishkakiii usikute nalishwa nyama ya mbwa sijijui
[emoji23][emoji23][emoji23] mdada gani huyo auntieKabisa Auntie....
Tukamwagilie moyo[emoji1787]Usije ukaishia kunywa zile juice za yule Mdada pale pembeni...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Sasa auntie yako nikiona mate yananitoka na ninasimama kabisa nakula yaani sijali wala nini kama wananilisha nyama za mbwa wanapata dhambi sana[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Auntie nimecheka
Huwezi kuamini mimi na Uroho wangu wote wa nyama zile za kutembeza sijawahi...
Pale Kijiwe Mishikaki kwa pembeni kuna yule Dada anatengeneza juice yupo pia Board Room nimesahau jina lake...[emoji23][emoji23][emoji23] mdada gani huyo auntie
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Sasa auntie yako nikiona mate yananitoka na ninasimama kabisa nakula yaani sijali wala nini kama wananilisha nyama za mbwa wanapata dhambi sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Aloooh kwenye mtaa wa vipodozi yaani nikienda kariakoo auntie yako lazima nipite pale na nikae nile zangu yaani auntie ni vitamu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nimechekaaaaa.....
Kuna sehemu Kariakoo Wameweka hadi viti na meza kabisa[emoji28]
Kijiwe mishikaki kweli pamebadilika jamaniPale Kijiwe Mishikaki kwa pembeni kuna yule Dada anatengeneza juice yupo pia Board Room nimesahau jina lake...
Ana juice huyo[emoji39]
Uwueeeeeeh!!!!Auntieee tupate tangazo kidogo kutoka kwa wadhamini [emoji847]View attachment 2287439
Hiyo ni Dressing table Auntie?Auntieee tupate tangazo kidogo kutoka kwa wadhamini [emoji847]View attachment 2287439
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Aloooh kwenye mtaa wa vipodozi yaani nikienda kariakoo auntie yako lazima nipite pale na nikae nile zangu yaani auntie ni vitamu
Yaaaani...Pamebadilika mno...Kijiwe mishikaki kweli pamebadilika jamani