Makapuku Forum

Makapuku Forum

Huyo huyo anayelipa...
Ukimtumia nauli baada ya dakika 20 anakuambia nimeanza safari...

Ndani ya dakika hizo hizo 20 anakutumia msg " Nimepata ajali ya Boda, Mimi na Dreva tumefariki wote My wangu"[emoji23]

Utakapojua hujui...
Labda sio mimi.
Hata aache kutumia simu nitampata tu.
Kabla sijakutumia nauli lazime nikuweke karibu na napate taarifa zako muhimu.
Hili litafanikiwa kwasababu sina mkono wa birika na sound ninayo sana lazima uingie 18 zangu.

Hata day one ukizingua kuja sitaonyesha kumind ili nikulainishe.

Lkn sound zikizidi mbona hutawapiga wengine sound?[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Wanaume tumepitia mengi na siku hizi mwanamke mwizi tunamjua from day one tunachotaka ni kuvua na kuacha sababu tunajua ni kunguru wale wale wasiofugika.
 
Labda sio mimi.
Hata aache kutumia simu nitampata tu.
Kabla sijakutumia nauli lazime nikuweke karibu na napate taarifa zako muhimu.
Hili litafanikiwa kwasababu sina mkono wa birika na sound ninayo sana lazima uingie 18 zangu.

Hata day one ukizingua kuja sitaonyesha kumind ili nikulainishe.

Lkn sound zikizidi mbona hutawapiga wengine sound?[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Wanaume tumepitia mengi na siku hizi mwanamke mwizi tunamjua from day one tunachotaka ni kuvua na kuacha sababu tunajua ni kunguru wale wale wasiofugika.
Sawa
 
[emoji954] MCHEZAJI BORA LIGI KUU - YANNICK BANGALA.
Screenshot_20220708-042225_OGInsta%2B.jpg
 
Back
Top Bottom