Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,006
- 150,541
Kwema Shem....
Za wewe?
Kwemaa kabisaaaa
Kwema Shem....
Za wewe?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Watoto ndio wako na huo muda[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nyau wewe!!! Unapenda hela kama Wallet[emoji28]Ninao wa unga kama kilo 3 sijui 4. Sijawahi utumia. Sasa mie damu yote hii ninywe tena lozera si itakuwa balaa[emoji134][emoji134]
Tuma hela nikutumie[emoji12][emoji12][emoji12]
Nyau wewe!!! Unapenda hela kama Wallet[emoji28]
Hiyo Damu uliambiawa ipo nyingi au unajisemea tu?
Nakumbuka kuna wakati nilienda ku'donate Damu bhana... nikijua damu imezidi.. Ile nafika wananichukua vipimo.. nikaambiwa sina damu ya kutosha[emoji848]... wakanielekeza vitu vya kuongeza damu.. Nilichoka.
Vizuri...Kwemaa kabisaaaa
Ahsante Lee..Poleni
AmeeenVizuri...
Uwe na J3 njema na Wiki yenye mafanikio.
Baraka tele
Kwanini mshikiane simu sasa?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] penzi jipya simu bado tunashikianaa mkuu
[emoji120][emoji120][emoji120]Ameeen
Na wewe pia uwe na wiki njemaaa
Alinambia akiwa kwako nisiwe nampigia simu...nampigiaga akiwa kwa akina zubedaAtapokea
Au mchek kwa simu..[emoji3]
[emoji28][emoji28][emoji28]Alinambia akiwa kwako nisiwe nampigia simu...nampigiaga akiwa kwa akina zubeda
Atakuwa hapo kwa mama mchungaji[emoji28][emoji28][emoji28]
Mbona hayupo kwangu sasa?
Labda yupo kwa Zubeda...Mchek..
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Atakuwa hapo kwa mama mchungaji
Mdomo huu utaniponza kwa anko[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Nani huyo???
Ninong'oneze..Mdomo huu utaniponza kwa anko
[emoji2296][emoji2296] kweli auntie inabidi tu nikaogeAuntie kaoge maji ya mto pangani[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23]Kwakweli mtuachie tu, mie bado sijamalizana nayo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Si jina jamani auntie usimfanyie hivi shemela wangu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Lina maana gani?