Espy_
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 91,881
- 183,194
Na vile umejaza kwa kabati ni azam mango eeh?[emoji28][emoji28][emoji28]
Kwangu vinywaji vya aina hiyo havikai...
Na vile umejaza kwa kabati ni azam mango eeh?[emoji28][emoji28][emoji28]
Kwangu vinywaji vya aina hiyo havikai...
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Wachaaa!!!![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Yaani lina hekaheka acha kabisa. Mambo ni [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Kabati la mbeo[emoji28]Na vile umejaza kwa kabati ni azam mango eeh?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ujinga mtupu. Woooi![emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Wachaaa!!!!
Kuna mtu alisema penzi jipya mnaweza kuchart Watsap,Msg za kawaida, Instagram, n.k..kwa wakati mmoja, mada tofauti [emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ujinga mtupu. Woooi!
Mie nawaza vikoba huo muda nautoa wapi. Labda hizo msg ziwe za "imethibitishwa..."
Teh teh teh teeeeeh!! Kwakweli.Kabati la mbeo[emoji28]
Kuna Pepsi na juice ya Ubuyu tu[emoji23]
Hatimae kikuu umeachiwa, karibu bwana nilikumiss.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Si kwema hata kidogo. Hatujala.Kwema humu??
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ujinga mtupu. Woooi!
Mie nawaza vikoba huo muda nautoa wapi. Labda hizo msg ziwe za "imethibitishwa..."
Ndiyo Ipo...tena ukipata ule wa unga....Teh teh teh teeeeeh!! Kwakweli.
Eti juice ya ubuyu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hivi ubuyu una juice? Maana ninao humu ndani nililetewa na dogo.
Kwema Shem....Kwema humu??
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Hatimae kikuu umeachiwa, karibu bwana nilikumiss.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Si kwema hata kidogo. Hatujala.
Watoto ndio wako na huo muda[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Imariginiiiii!!!!!
Ninao wa unga kama kilo 3 sijui 4. Sijawahi utumia. Sasa mie damu yote hii ninywe tena lozera si itakuwa balaa[emoji134][emoji134]Ndiyo Ipo...tena ukipata ule wa unga....
Unachanganya na rozela na Iliki.... Wueeh! Utajibamba...
Ukishindwa kutengeneza...nitumie[emoji28]
Wamejua kufichana!![emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Mambo ya Weekend..
Hatimae kikuu umeachiwa, karibu bwana nilikumiss.
Si kwema hata kidogo. Hatujala.