[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nimeisoma sehemu nikasikia mchozi wanitoka[emoji3][emoji3][emoji3]
Hakyanani ukapuku hauepukiki, kama tozo ya king'amuzi tu..yaani buku buku tunalia hivi...basi sisi ni makapuku Pro max[emoji3][emoji3]
Na hapo hujanitumia hata buku[emoji134][emoji134]Mwaka huu airtel wamenipa Tsh.7,544.22. Hili ni gawio la kunitosha miezi mitatu nikisubiri lingine [emoji3][emoji3]
Auntie ujue sie tumekuvamia kwenye jukwaa lako. Waliite tu shunie and family chit chat sasa maana tushaufanya uzi wetu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ebu tujadili apa ebu tuchague auntie Hadde Espy Atoto jina gani jamanii
Na kwenye hiyo miamala najua kuna vitenge vyangu unatafuna tu panya road wewe [emoji134][emoji134][emoji134]Jamani mbona nafanya miamala sana hata sijui nafeli wapi
Kwahiyo jobless hapa ni nani[emoji57][emoji57][emoji57][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Majukumu Auntie...
Miss you zaidi
Busara forum, labda tumuondoe makiwendo kwanza[emoji1787]BUSARA ni jina linatosha kabisa
Nimeisoma sehemu nikasikia mchozi wanitoka😀😀😀
Hakyanani ukapuku hauepukiki, kama tozo ya king'amuzi tu..yaani buku buku tunalia hivi...basi sisi ni makapuku Pro max😀😀
Sina line ya tigo sasa. Airtel labda.[emoji23][emoji23][emoji23] Kopa tigo nivushe
Hivi ukiwa na hela ndio uzitumie hovyo hovyo tu. Wapandishe vitu utulie tu kwakuwa unazo!!![emoji849][emoji849][emoji849]
Huh!! Wamejimilikisha uzi wetu na hawachat, hawa mods viburi sana[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Sio alikuwa Baily 5 huyo wa saaa ni mod sijui
Mie nimevimbiwa hapa nawaza tu wa kumkopa.Good evening momma, nimeshinda poa kabisa, hofu kwako tu
Wazee wanaleanaje? Tunamhitaji binti yetu atushikie mkongojo.
Mkwe tu niane walah[emoji1787][emoji1787][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]Tutahamia mikoani huko, tuwaachie barabara zao wapite na maving'ora yao...
Mambo wanatufanyia ni sawa na kumshindisha mtu njaa halafu unamwambia ajambe...
.....sahihi kabisa my dear.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwanini afukumi na afusita lakini OBE?
Aki!!!! You can take a man out of the village, but you cannot take the village out of Him..."
Hela zipi sasa mkwe [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mkwe tumia hela uiitwe Mdosi...
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwani hilo ni tusi mkwe?
Asante dadaAmeen wanatusikia
Si nakuloga tu[emoji57][emoji57][emoji57]Hahah we subiri hapo hapo nyumbani, binti yako wa pili najimilikisha unaona