Makapuku Forum

Huo Umbea huo Auntie..Ngoja nione namna mwezi utakavyoenda


Watu tunaogopana sababu ya life tunayoishi siyo yetu...Binafsi katika vitu siwezi ni hicho...

He he he...Narudia watakuamini wengine ika mimi hata uniue..Siwezi
Auntie hakuna cha mwezi unavyoenda wala nini utaniambia tu

Mwenyewe auntie kufake kumenishinda aiseee na ndio maana nikitaka kuonana na mtu au kujuana tunajuana vizuri tu sana na hakuna shida jamani

Auntie niamini bwana kweli ujue sikudanganyi kabisa
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…