Yaani ni shidaYaani siku hizi hata jf inakunywa bando eti jamani!! Hii mitandao wanauyani na pesa zetu
Bando la mwezi unatumia siku 5 alooh!!
Lolote linaweza kutokea ila upande wangu simba ni mhimu ifuzu maana napenda mafanikio ya nyumbn hata kama sina timu ninayo ipendaNyieee mimi leo nimeamini ndio na pressuresiku zote huwa nahisi hisi tu hapana aiseee kupenda mpira huku simba mtaniuaaaa
Sasa upo na maisha yako kila kitu unajitegemea nani atakuja kukusumbua.
Tuna viburi shetani akasome.
Ameen kaka uzalendo kwanzaLolote linaweza kutokea ila upande wangu simba ni mhimu ifuzu maana napenda mafanikio ya nyumbn hata kama sina timu ninayo ipenda
Kweli kabisaAmeen kaka uzalendo kwanza
Ushakufa auntie?Nyieee mimi leo nimeamini ndio na pressuresiku zote huwa nahisi hisi tu hapana aiseee kupenda mpira huku simba mtaniuaaaa
Nne tu auntie.Hawaaamini macho yaoooooooo
Sasa upo na maisha yako kila kitu unajitegemea nani atakuja kukusumbua.me huwanga nasema kabisa kaka umenikuta na maisha yangu mwenyewe naishi nitakavyo naomba tu kila mtu aendelee na maisha yake imeisha hiyooooo ukiendelea na usumbufu block linakuhusu
Uzalendo my foot.Ameen kaka uzalendo kwanza
Wewe ndio mchawiJamani nitarudi acha tuangalie kipindi cha pili
Kila la heri team yangu kila la heri mnyamaaaaaaaa
Ahsante Obe...Tuwe na wiki nzuri wadau wema wa jukwaa hili ninalolipenda maelezo hayatoshi kwa sababu wewe upo hapa
Ndugu yenu niko sawa kabisa na wikend yangu ndiyo inaanza.
Vipi we' Dada?
Kushindwa kwa simba Jana kuna kitu cha kujifunza kama wanamichezoUzalendo my foot.
Shem habarVipi we' Dada?