Mmmmh ngoja nijipange kuja nchin kwenuNaam.
Nimetaja kwa kuwa watu wa kibaha ni wakarimu kama weweKibaha!! Nani anaishi Kibaha we baba[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Pongezi kwako kwa mfunda agiza coca nakuja kulipaMwanaume hafokewi mdogo wangu...
Nenda taratibu basi...unipunguzie majukumu mimi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ooooh[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Umenionea wapi ERoni wangu?
Wapi huko?Mmmmh ngoja nijipange kuja nchin kwenu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nimetaja kwa kuwa watu wa kibaha ni wakarimu kama wewe
Habari za jioni mkuu?Ooooh
Niko nchin kwetu Malawi ndio nataka nije tzWapi huko?
Hahaha nimefurahi kukaribishwa na mrembo kama wewe asante sana[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Basi karibu sana.
Njema habar ya kuwajibika kwa ujenzi wa taifaHabari za jioni mkuu?
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Njoo nikubusu dada yangu, haya maisha tu ujue[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wewe tekno hamuwezi wizkid wewe.. Kwanza unamjua konde booy..Hamna kama tekno wewe.
Nakunywa Pepsi Mkuu....Pongezi kwako kwa mfunda agiza coca nakuja kulipa
He he he he heNimetaja kwa kuwa watu wa kibaha ni wakarimu kama wewe
Simfahamu kijiji hiko, ukitoka kahama, kagonhwa kisha ndio simfahamu.Basi ndio maana simfahamu.
Marekani anatumia nafasi hii kupambana na mrusi kupitia mlango wa nyuma.Ukraine imepokea ndege za kivita kutoka Marekani kwa ajili ya kujilinda katika uvamizi unaofanywa na Urusi nchini humo.
Msemani wa Wizara ya Ulinzi ya Marekani John Kirby amesema kwa sasa Ukraine ina ndege zaidi za kivita ikilinganishwa na wiki mbili zilizopita.
Kirby lakini hakutoa maelezo zaidi kuhusiana na zilikotengenezwa ndege hizo au muundo wake, Rais wa Ukraine Volodomyr Zelenskiy alikuwa ameitaka NATO kutuma msaada wa ndege za kivita nchini humo.
Wakati huohuo Waziri Mkuu wa Canada Justin Trudeau amesema nchi hiyo itaipa msaada wa silaha nzito za kijeshi Ukraine kufuatia wito wa msaada uliotolewa na Rais Zelenskiy.View attachment 2194112
Nami niko Malawi mbonaNiko nchin kwetu Malawi ndio nataka nije tz
Mbona mrembo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hahaha nimefurahi kukaribishwa na mrembo kama wewe asante sana
Nitajitahidi kufika ulipo kwa ruhusa yako