Sitaki binamu offer zako...wewe sasa ndiyo ndugu yangu wa kweli, nilijua tu watu walitaka kunichonganisha nikose mambo mazuri. Kinywaji unachokunywa ongeza na kingine kwa gharama zako
Aroooooooh!!!!Ata ukisema mchanga ni sukari anko atalambaaa wala usiwe na shaka wakikuita nyau atajiita pusiiii
HallelujahAmen Aunty akee mimi...
Mwaka umekuja na baraka nyingi sana huu..
Ndo nashangaaaa...katiba yetu ya ukoo haibariki hicho
Hapa alipotea kabisa
Nikasema haya si mapenzi ni mahaba
He he he....hii naiprint niweke kwa akiba
mimi kabisa nikasema nitaweza kutoa mahari!!!? Mimi huyu huyu kweli? Kwa kweli nahitaji uangalizi kama nilisema maneno haya
Ata ukisema mchanga ni sukari anko atalambaaa wala usiwe na shaka wakikuita nyau atajiita pusiiii
Sanaaaa enjoy tu auntie maisha ndio hayahayaAcha tu Auntie...
Kupendwa unapopendwa raha sana..
Na'enjoy nyie!!!
Hayo ndio mapenzi auntie mapenzi ya drama ya nini watu tushakuwa wazeeHalafu Uncle yuko na yale Mapenzi ya kikubwa..
No drama...
Aliweka wapi Auntie.? Panda mlima uone Uhuni aliotufanyiasiku ya kwanza nilimwambia aweke magazeti sijui aliendelea au aliishia yaani hata simu kushika nilikuwa sitaki
Nakuelewa auntieSanaaa Shem..
Kuna ile feelings hakuna mtu anaeza elewa..
Mapenzi shenzii sana...achana na mapenzi auntie
Aliweka wapi Auntie.? Panda mlima uone Uhuni aliotufanyia
Pole Aunty akee.. utakuwa sawa..
Imagine Auntie..Hayo ndio mapenzi auntie mapenzi ya drala ya nini watu tushakuwa wazee
usiniambie auntie magazeti hajaweka
Niliweka mbona babeusiniambie auntie magazeti hajaweka