[emoji3578][emoji3578] Shaffih Dauda
Iconic celebrations[emoji119]
Mbunge @jerrysilaa ameweka style ya Mayele Fiston, raia wa Congo anaecheza Yanga
Mbunge @babutale ameweka style ya Sakho, raia wa Senegal anaecheza Simba
Well! Mayele tayari amekula mkataba wa matangazo pale GSM kwenye maduka yao, hii imetokana na ubora wake uwanjani na sanaa yake ya ushangiliaji, anavuna pesa zake
Huyu POS wa Simba ni muda wowote kama ataendelea na ubora wake basi kwa style yake ya chumvi kama Serge Gnabry basi anaweza kupata matangazo kama ya chumvi, ni pesa hizi
Well, wageni wamekuja kwetu kucheza mpira, kuvuna pesa za mpira na kuvuna pesa za nje ya mpira ila sisi tupo tumetulia! Ofcourse Mchezaji hupewi endorsement kisa kipaji sana bali nje ya kipaji kuna kipi nyuma?
Watu hawaendi kwa Cristiano Ronaldo kisa mabao, bali wanaenda kwakuwa ana kitu extra nyuma ya kipaji, tuna kazi kubwa ya kufanya football iwe profession yenye pesa nyingi
Ni suala langu, letu na sote pamoja kuwa na workshops kwa ajili ya wachezaji wetu wazawa ili tupige hatua kubwa
WHEN DIGALA SPEAKS???______