[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ni hatari sana
Unatoka pazuri unaenda pabaya
Ni kama mwana mpotevu tu[emoji3059]baadaye alirudi kwa baba yake kuendelea kula rahaaa[emoji3059][emoji2096]
HatutakiiiiiBasi hongereni wana Thimba, **** zenu[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
[emoji23][emoji23][emoji23] Mungu atusaidie tuHaya mapumziko yasitokee tena jamani [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mimi siwapi hongeraBasi hongereni wana Thimba, **** zenu[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Ameshasikia hii[emoji23][emoji23][emoji23] Mungu atusaidie tu
Basi ndio nishawapa hata kama hamtaki. Halafu mimi sio kapuku[emoji23][emoji23][emoji23]Hatutakiiiii
Ni huzuniAnne niacheeeeee
Amen[emoji120]Niwatakie Siku njema, Wiki njema yenye Mafanikio tele Wapendwa wangu...
Nikawajibiki sasa kulijenga Taifa la Mungu...
Kwa Wana Simba wenzangu. Hongereni sana sana...
Maki anawapenda sana...Baraka tele..
Ameeen. [emoji120][emoji120]Ameshasikia hii
Ametia sahihi tayari ya kuwasaidia.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tuacheee na ukapuku wetuBasi ndio nishawapa hata kama hamtaki. Halafu mimi sio kapuku[emoji23][emoji23][emoji23]
Asante auntie na kwako pia tunakupenda sanaNiwatakie Siku njema, Wiki njema yenye Mafanikio tele Wapendwa wangu...
Nikawajibiki sasa kulijenga Taifa la Mungu...
Kwa Wana Simba wenzangu. Hongereni sana sana...
Maki anawapenda sana...Baraka tele..
Sie ambao hatuipendi Simba mbona hujatutakia wiki njema, huu ubaguzi sio wa nchi hii.Niwatakie Siku njema, Wiki njema yenye Mafanikio tele Wapendwa wangu...
Nikawajibiki sasa kulijenga Taifa la Mungu...
Kwa Wana Simba wenzangu. Hongereni sana sana...
Maki anawapenda sana...Baraka tele..
[emoji110][emoji110][emoji110] humbleness[emoji3578][emoji3578] Farhan Jr
Wakati wachezaji wa Liverpool wanashangilia ubingwa wa Carabao uwanjani pale Wembley, kila Mchezaji alikuwa na namna ya kuonesha furaha yake baada ya kuifunga Chelsea kwa penati
Mchezaji mmoja alishika chupa ya pombe na akataka aifungue kisha aimwage, ila pembeni yake alikuwepo Sadio Mane nyota ambaye ni muumini wa dini ya Kiislam ambaye pombe kwake ni haramu
Mane kwa haraka sana alimwomba mwenzie asifungue chupa ile ya pombe mbele yake, uungwana mkubwa pia kwa Mchezaji mwenzake ambaye nae alimuelewa Mane na akaacha kuifungua
Wakati wapo vyumbani wakiendelea na sherehe za ubingwa, picha nyingi sana za ndani Mane hakuonekana ila kulikuwa na footage moja tu ambayo Mane alikuwa ameshika mswala (mkeka wa kuswalia)
Kwenye video hiyo Mane alionekana anatoka anaelekea kwenye chumba kingine kwa ajili ya kukamilisha ibada ya swala ya Magharib baada tu ya mechi kuisha, ndio maana hakuonekana kabisa mwanzoni mwa sherehe
Sadio Mane huyu huyu baada tu ya kubeba ubingwa wa AFCON 2021, Liverpool ilikuwa tayari kumuandalia sherehe wakati anarejea ila yeye alituma ombi maalum kuwa wasimfanyie sherehe yoyote kwa heshima ya MO Salah wa Misri
Ikaja tena kuwa Mane na Senegal yake wamefuzu fainali za kombe la dunia, ni yeye tena akatuma ujumbe kuwa wasimfanyie sherehe yoyote kwakuwa ana heshima yake kwa Mohamed Salah na wachezaji wengine wa Afrika kikosini
Huyu ndie Sadio Mane ambaye Jurgen Klopp anasema sababu ya kumtumia Mane moja kwa moja kikosini akitoka michuano ya kimataifa ni kuwa, Mane hanywi kabisa pombe hivyo hana shida kwenye fitness
Niwatakie mfungo mwema wa mwezi mtukufu wa Ramadhan kwa hisani ya Ndugu yetu katika imaan, Ustadh Sadio Mane[emoji120]
We all dream to have the attitude like Sadio ManeView attachment 2173713
Shikamoo kaka.Uthiniulize! [emoji23][emoji23][emoji23]
Najua nitaenda wapi, tena nitapokelewa tu!
Wacha bana, kumbe wewe ni mjanjaSimba robo fainali hiyoooooi. [emoji123][emoji123][emoji123]
Week yote hiii navaa jezi za simba tu [emoji847]View attachment 2175015
Tabia yako mbaya, haupendi ushindi.Mimi siwapi hongera
Walicheza na wanyonge[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Yaani wale maboya nimenyanyuka kwenda short call,narudi naona Morrison anamalizia kutoa assist eti bao la pili babeq nikazima na liTV huyooo kulala.
Marahaba, mimi sio kaka yako!Shikamoo kaka.