Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,400
- 465,165
Utafiti mpya Nchini Marekani umeonesha kuwa kula tunda aina ya parachichi kunapunguza hatari ya Mtu kupata mshtuko wa moyo, matokeo haya yametangazwa wakati ambao ugonjwa wa moyo na mishipa ndio unaoongoza kwa kuua Watu duniani kwa kusababisha vifo milioni 18 kila mwaka kwa mujibu wa WHO.
Utafiti huu mpya umesema kula parachichi angalau mara mbili kwa wiki kumeonekana kupunguza hatari ya kupata mshtuko wa moyo kwa 21% "utafiti huu ni ushahidi kwamba parachichi zina manufaa ya kiafya" alisema Cheryl Anderson, Mwenyekiti wa Baraza la Jumuiya ya Moyo ya Marekani.
Wakina kalumbu na wenzenu ujumbe wenu huu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Saint Anne @Karma Heaven Sent
Utafiti huu mpya umesema kula parachichi angalau mara mbili kwa wiki kumeonekana kupunguza hatari ya kupata mshtuko wa moyo kwa 21% "utafiti huu ni ushahidi kwamba parachichi zina manufaa ya kiafya" alisema Cheryl Anderson, Mwenyekiti wa Baraza la Jumuiya ya Moyo ya Marekani.
Wakina kalumbu na wenzenu ujumbe wenu huu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Saint Anne @Karma Heaven Sent