Naaam auntie siachwii naachaKwamba Unaacha Auntie...M'Tanga wewe!!!!
Hiyo aya ya pili imenikumbusha jana..kwamba uliona urudi ulipokuwa
Alafuu wanaodanganyana kuwa umerudiana na ex wanamanisha ex yupi🤣🤣🤣🤣
Kwa taarifa aunt yake mtu ...mimi sikuwah kuachana nae tulijipa likizo 🤣🤣Kwamba Unaacha Auntie...M'Tanga wewe!!!!
Hiyo aya ya pili imenikumbusha jana..kwamba uliona urudi ulipokuwa
Ex wangu wewe hapo etiAlafuu wanaodanganyana kuwa umerudiana na ex wanamanisha ex yupi
Mimi lini nilikuwa ex kwakoo ...wewe wakikushinda nambie niwafatee
Naaam...Babe wake Mtu...Shangazi yake mtu...
Wanaomtafuta babe wangu watapata wanachokitaka
Naaam auntie siachwii naachatanga hatoki boi sinaga historia ya kuachwa kabisa yaani nikikuchoka tu nakwambia bwana kila mtu aendelee na maisha yake tusisumbuane umenikuta na maisha yangu
Alafuu wanaodanganyana kuwa umerudiana na ex wanamanisha ex yupi
Mimi lini nilikuwa ex kwakoo ...wewe wakikushinda nambie niwafatee
Naaaaam Shem lake...Kwa taarifa aunt yake mtu ...mimi sikuwah kuachana nae tulijipa likizo
Jamani nipo hapa mama, niambie.Nakutafuta
Nawaona utu na utulivu wakeBabeeeeeee.....
Nani anabisha kuwa tuliachana ?
Aliyesema hivo ni mbwa
Itakuja kwenye kapu la MashangaziKwahiyo auntie aifoni namdai nani?
Weeeh!! Mashangazi wenyewe ndio nyieItakuja kwenye kapu la Mashangazi