Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,977
Kijijini wapi auntie naanzaje kuwa kijijini mimi



labda huku kwangu kijijini ya dar
Kijijini wapi auntie naanzaje kuwa kijijini mimi



labda huku kwangu kijijini ya darHuko huko Auntie!!! Si unakumbuka siku ile ulivyonishtua?Kijijini wapi auntie naanzaje kuwa kijijini mimilabda huku kwangu kijijini ya dar



Hahhaha nipo kijijini dar huku kwangu ndio napaitaga hivi mwanzo si nilikuwa naishi sinza sasa nimetoka sinza nimehamia kimara kwahiyo napaita kijijiniHuko huko Auntie!!! Si unakumbuka siku ile ulivyonishtua?
Ndiyo upo Kijijini Dar au upoooooooo?
Sent using Jamii Forums mobile app



🤗🤗🤗Hahhaha nipo kijijini dar huku kwangu ndio napaitaga hivi mwanzo si nilikuwa naishi sinza sasa nimetoka sinza nimehamia kimara kwahiyo napaita kijijini![]()
I love ❤️ u
Auntie!!!!...Hahhaha nipo kijijini dar huku kwangu ndio napaitaga hivi mwanzo si nilikuwa naishi sinza sasa nimetoka sinza nimehamia kimara kwahiyo napaita kijijini![]()


Auntie!!!!...
Sawa..tutaongea wakati mwingine..naona na wewe chupa ya kijani imekolea
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahhaha auntie ujue nipo mzima naingia kazini asubuhi naanzaje kunywaAuntie!!!!...
Sawa..tutaongea wakati mwingine..naona na wewe chupa ya kijani imekolea
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahhaha auntie ujue nipo mzima naingia kazini asubuhi naanzaje kunywa
Usichoelewa hapo auntie nini jamani
Asante babe kwa kunitetea![]()
HahahahhaahMakopaa unayonimwagiaaa

Lee
Unatupeleka haraka sana... umeshabadili Avatar Shem?
Nilivyooana nikajua Ingizo jipya
Sent using Jamii Forums mobile app





Sawa Auntie...Nimekuelewa vyema kabisa..Hahhaha auntie ujue nipo mzima naingia kazini asubuhi naanzaje kunywa
Usichoelewa hapo auntie nini jamani

