Makapuku Forum

CONFIRMED: Robert Lewandowski amevunja mikataba yake ya udhamini na kampuni ya Huawei. Kampuni hiyo ya China inalisaidia jeshi la Urusi kiteknolojia. Lewandowski alikuwa balozi wa kimataifa wa Huawei na uamuzi huu umemgharimu karibu Euro milioni 5 (Sh 12.7 Bilioni)

 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…