PABLO ATIA NENO KIWANGO CHA BOCCO
.
“Inatokea tu mchezaji kuna wakati inakuwa hivyo, sio kusema Bocco hajui hapana, ni namna ya mchezo unavyokuwa na ushindani wake,
.
“Unakuta pia mchezaji anajipanga kweli kweli kuhakikisha anafanya kile anachokitarajia akini ikitokea akakwama, inamuumiza hata yeye mwenyewe,” amesema Pablo na kuongeza:
.
“Bocco ni mchezaji mzuri na ndio maana ni nahodha na mimi nafahamu namna ambavyo anajisikia kutokana na msimu uliopita alivyofanya vizuri lakini kwa sasa hajafanya vile,”
.
WANASIMBA mmemsikia Pablo anasema ni suala la muda Bocco gari litawaka __!!