Makapuku Forum

Makapuku Forum

Nyieeee jamaniiii ebu tujikumbushe. [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Screenshot_20211007-214649_Instagram.jpg
 
[emoji3578][emoji3578] Farhan Jr

The great game of football, Vijana wamecheza vizuri sana ila mpira una maajabu yake sometimes

Vijana wadogo Kama Abdul Suleiman, Dickson Job, Kibwana Shomari, Novatus Dismas na Israel Patrick wametoka kwenye setup za timu za Vijana, inanipa moyo sana na namna wanacheza hivi sasa

Wakati mwingine tunamlaumu sana Poppa ila kwenye Daraja lake yupo Péke yake, Captain performance anaendelea kuonesha kwanini yupo Ulaya, ana kila kitu cha Forward

Mzamiru Yassin ni Punda haswa! Tumemaliza game na 4-4-2 huku MKABAJI akiwa mwenyewe na bado alitupa mechi nzuri sana, Feisal alipata uthubutu wa Kupanda zaidi kutokana na mapafu ya Mzamiru

Benin Walihitaji dakika moja tu kuigawa mechi hii! Steve Mounie alieweka kambani alipita Huddersfield kwenye EPL aliwahi kuweka 17+ goals na sasa yupo LIGUE 1

Lile bao lake ni uzoefu tu, alikuwa on space, akahesabu hatua za umbali wa Manula kutoka langoni, akatazama akili ya Job ambae alikuwa anablock eneo sio attempt, Job alijaa nyuma ila Steve akapitisha mpira mbele

Class class, ila taratibu tutafika walipo! Stars ya Kim Poulsen hata tukipoteza bado inafurahisha kuitazama! The future is bright
Screenshot_20211007-215233_Instagram.jpg
 
[emoji3578][emoji3578] Farhan Jr

FC Barcelona kwa miaka mingi wamekua wakihusudu Makocha waliocheza kwenye klabu yao na kuuishi utamaduni wao

Pep Guardiola alifundisha na alikuwa legend wa Barca, akaja Tito Villanova na baadae wakina Luis Enrique na hata huyu Ronald Koeman wote walikuwa Malegend kuna kitu wanakipenda

Wana lugha yao ngumu kidogo kuhusu Makocha ambao hawajui utamaduni wa Barca wala kucheza wanawaita MERCENARIES

Msemo wa ONE THING ABOUT FOOTBALL IS NOT ABOUT FOOTBALL unatumika hapa! Kitu kimoja kuhusu mpira wala hakihusu mpira, ndipo hapo unahitaji kitu cha ziada

Hii video fupi ilinasa kidogo tukio moja wakati bench la Simba lote limechanganyikiwa basi kulikuwa na kichwa kimoja kimepoa, kichwa cha KOCHA SULEIMAN MATOLA

Pengine labda kwakuwa alikuwa anacheza nafasi ya KIUNGO MKABAJI Maana kuna bromance Kati ya Viungo na kuwa Makocha bora

Matola baada ya Kennedy Juma kupata hitilafu alisimama kwa haraka, kwanza alivyomtazama Kennedy alijua haendelei tena (uzoefu) akamwambia INONGA apashe kisha akawahi kwa touchline kuituliza timu

Wakati machela inaingia yeye Matola anazidi kupoint INONGA aingie kwakuwa anajua mechi imechangamka na hakuna muda, hii ndio akili iliyokuwa inafanya vingi kwa pamoja

Kisha akarudi kwa INONGA kumpa maelekezo na wakati Gomes analalamika kutokana na ile rafu, yeye akamuita na kumwambia aongee na Mchezaji anaingia

Moves nyingi za Matola kwenye bench zinaonesha ukomavu wake na uzoefu wake na pengine anafahamu vyema nini Maana ya badge ya Simba! Alikuwa na matukio mengi ila Nilifanikiwa kurecord hili, Mara zote hapanic ila anatoa SOLUTION

Screenshot_20211007-215506_Instagram.jpg
 
Back
Top Bottom