WapigweeeeKule naijeria naomba mambo yaende sawia.
T hii ndio furaha yetu ujueKule naijeria naomba mambo yaende sawia.
Beer zitakuwa tamu sana leo [emoji1787][emoji1787][emoji1787]T hii ndio furaha yetu ujue
Nimeokoka [emoji847] nakunywa fanta passionBeer zitakuwa tamu sana leo [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23]sasa lakini leo nani amcheke mwenzake?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Bora wangesimama na msimamo wao uleule wa kutocheza
Hata sijui yaani ila bora sisi simba kuliko yanga[emoji23][emoji23]sasa lakini leo nani amcheke mwenzake?
Ni kweli Rogie ulikuwa wewe nikasema namfananisha au ilikuwa kwenye insta story ya Nugaz halafu umenenepaAhsante sana Shunie. Yaani kweli siku hizi nimekosa le mbebezi humu mpaka sijapata thread ya kutakia kheri ya kumbukumbu ya kuzaliwa. Hahaha
Tulizo la bwana Smart [emoji8]Je wajua inakujia na shunie shunie kibonge cheusi mangala [emoji847][emoji847] mtoto mlito mlito
Umekuwa msemaji wetu? Eti babe wa leeTulizo la bwana Smart [emoji8]