Dah anajifeel vipi ticha?UNAAMBIWA
Mtangazaji maarufu wa Marekani Steve Harvey hununua zawadi ya TV kila mwaka na kumpelekea Mwalimu wake wa zamani ambaye aliwahi kumwambia kamwe hatokuja kuonekana kwenye TV.
Steve anasema Mwalimu alimwambia kauli hiyo akiwa mdogo baada ya kuwapa Wanafunzi maswali ya kutaka waeleze wanataka kufanya kazi gani ukubwani au wanataka kuwa nani.
Steve ambaye alikuwa na tatizo la kigugumizi kikali wakati huo aliandika anataka kuwa Mtangazaji mkubwa atakayeonekana kwenye TV lakini Mwalimu akamwambia hiyo ni ndoto na haitowezekana.
View attachment 1928206
UNAAMBIWA
Mtangazaji maarufu wa Marekani Steve Harvey hununua zawadi ya TV kila mwaka na kumpelekea Mwalimu wake wa zamani ambaye aliwahi kumwambia kamwe hatokuja kuonekana kwenye TV.
Steve anasema Mwalimu alimwambia kauli hiyo akiwa mdogo baada ya kuwapa Wanafunzi maswali ya kutaka waeleze wanataka kufanya kazi gani ukubwani au wanataka kuwa nani.
Steve ambaye alikuwa na tatizo la kigugumizi kikali wakati huo aliandika anataka kuwa Mtangazaji mkubwa atakayeonekana kwenye TV lakini Mwalimu akamwambia hiyo ni ndoto na haitowezekana.
View attachment 1928206
Dada ake mkwepu jr
Dada ake mkwepu jr
πͺπΏπͺπΏπͺπΏπͺπΏπͺπΏKANALI MAMADY DOUMBOUYA
.......Jana kanali Mamady doumbouya alipindua serikali ya Guinea conarky iliyokua chini ya Rais alpha Conde.
Rais Alpha Conde alibadilisha katiba mwaka 2020 na kugombea Urais kwa awamu ya tatu baada ya awamu zake mbili kikatiba kuisha..
Kanali Mamady Doumbouya ni nani.....????
Kanali Mamady Doumbouya ni mwanajeshi hatari aliyepata mafunzo ya juu katika upande wa kutambua na pia kupambana kwa haraka sana na hatari yoyote itakayojitokeza na kuirudisha hali ya nchi katika usalama wake wa kawaida....
Alikua ni mkuu wa Guinea special forces toka mwaka 2018 alipoitwa nchini humo toka ufaransa....Guinea Special force ni kikundi maalumu cha kijeshi ndani ya jeshi la Guinea chenye kazi ya kuzima jaribio lolote hatari kwa haraka sana litakalokua hatari kwa usalama wa Rais na nchi pia.
Ni mwanajeshi mwenye uzoefu wa miaka 15 ya operation za kijeshi duniani...alihusika katika operational hatari za kijeshi duniani kama
operation za kijeshi Afghanistan dhidi ya Talibani
Alikuwepo katika operation za kijeshi ivorycoast dhidi ya Waasi
Alikuwepo katika operational za kijeshi Djibouti na Afrika ya kati pia....
Amepata mafunzo yake ya kijeshi katika nchi za Islael,Ufaransa,Uingereza,Senegal,Cyprus na Guinea kwenyewe.
Ana masters degree katika Defence and industrial dynamic aliyoipata katika chuo kikuu cha Pantheon huko Paris.View attachment 1928390
Hizi hawapati wateja sana... Kama huko mbezi na kimara (mbagala) ikishakamilikaMradi wa mabasi ya mwendokasi mkoani Dar es Salaam, umeongeza ruti za safari za mabasi hayo na sasa umeanza kutoa huduma zake hadi Kawe.
Hii inakuja ikiwa ni siku chache tangu kuongezwe ruti ya Morocco- Mwenge iliyoanza Agosti 27, 2021 na hivyo kuwafanya wakazi wa Mwenge kuwa na ruti mbili za mabasi hayo, ukiacha ile ya Shekilango-Mwenge iliyoanza Agosti 26, 2021.
Katika ruti zote hizo nauli ni Sh400 huku ile ya Kawe ikiwa imeanza Septemba 2, 2021.
Msemaji wa wakala huo, Willium Gatambi amesema ni katika kuendelea kutoa huduma katika njia za mlisho ambazo vituo vyake vilijengwa muda mrefu.
Amesema vituo hivyo viliwekwa mahususi kwa ajili ya watu wanaotoka pembezoni mwa mji, ambapo wakifika hapo wanaunganisha usafiri wa mabasi hayo katika njia kuu. View attachment 1928222