Hata kwenye chama chake kuna kipindi miaka ya nyuma walimpa heshima na kumteuwa kua Mwenezi wa Mkoa
Kashfa aliyowaletea si ya kitoto. Yaani ilibidi aandike mwenyewe barua ya ku resign na Chama kwa kule kudhalilisgwa hakikuhangaika hata kumjibu!!! Walichagua tu mtu mwingne kuchukua nafasi yake
Kwahiyo upo sahihi kabisa kua kila apitapo lazima awavuruge