Manara yule ni mpiga mdomo tu kama wapiga mdomo wengine sema nini anajua kwenda na upepo.
Sisi tunakiaminia Kikosi chetu kwamba ni bora na pia ukizingatia tuna seasons zaidi ya 4 hatujachukua ubingwa hivyo this time mkubali mkatae ubingwa VPL ni kwa Timu ya Wananchi.