Zlatan Ibrahimovic afunguka alivyoachana na mchumba kisa kuombwa mkwanja:
"Girfriend wangu wa kwanza alikuwa mwanasoka, kuna siku aliniomba nimpatie Euro 100,000, alisema alitaka kuhudhuria harusi huko USA.
.
Nilimwambia "sikiliza mrembo wangu, ukitaka kuchepuka wewe chepuka kwangu mimi freshi tu . "
.
Ukweli ni kwamba endapo ningedumu naye, leo hiii angekuwa tajiri kuliko Zlatan wakati hana ajira. Nilimwambia awe mwangalifu anapozungumzia masuala ya pesa. Mimi ni mtawala, kama hapendi, sio mrembo kwangu."
Kama nawaona wanaume ambao hampendi kuombwa hela na wapenzi wenu mtakavyokuwa upande wa Zlatan