Makapuku Forum

Messi alizaliwa tarehe 24 Juni 1987 na Cristiano Ronaldo alizaliwa tarehe 5 Februari 1985. Watoto wao Cristiano Jr alizaliwa Juni 17, 2010 na Thiago Messi alizaliwa Novemba 2, 2012.
 
Rais Samia Suluhu amemteua Aboubakari Kunenge kuwa Mkuu wa Mkoa wa Pwani, kabla ya uteuzi Kunenge alikuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam na anachukua nafasi ya Mhandisi Evarist Ndikilo ambaye amestaafu.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…