Makapuku Forum

Msemaji wa Familia ya Hayati Dkt John Magufuli, Ngusa Samike, amesema kabla ya kifo chake Hayati Dkt Magufuli aliongoza sala na nyimbo akiwa na Madaktari na Wauguzi wake.

Amesema pia kabla ya kifo cha Hayati Magufuli, Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo na Paroko wa Parokia ya St. Peter Padre Alister Makubi walimpatia huduma ya kiroho ya Upako Mtakatifu, lakini pia Shekhe Mkuu wa Tanzania Mufti Aboubakar Zubeir nae alimfanyia maombi kabla ya kifo chake.
RIPHayatiMagufuli
 
Ila hizi captions za millard ni za kibabe.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…