Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
Sasa je unakubalije kuitwa mkuukumbe namimi nipo kwenye kundi la wanaume
Sasa je unakubalije kuitwa mkuukumbe namimi nipo kwenye kundi la wanaume
Huwa tunalishwa matango poriUtajikuta kwenye only share with you
Yaani unaona unapendwa ukipostiwa kumbe unaview mwenyewe View attachment 1707014


Kibonge, Cheusi Mangala, Mtoto mlito, mwenye...Sio mkuu mimi niite shunie wakuu ni wanaume

Nyote nyi ni wakuu kwa mujibu wa Jamiiforums.kumbe namimi nipo kwenye kundi la wanaume
NaaamKibonge, Cheusi Mangala, Mtoto mlito, mwenye...![]()
SanaaaaHuwa tunalishwa matango pori![]()
Huu uzi uachwe kama ulivyo mkuu.Ushauri wangu naomba Makapuku Forum iwe na ubia na Umoja wa Wanaume Bahiri Tanzania UWABATA
Nawasilisha.
Mimi unitoe kabisa sio mkuu mimiNyote nyi ni wakuu kwa mujibu wa Jamiiforums.
Wewe ni mtoto mlito, kibonge, cheusi mangala mwenye....Mimi unitoe kabisa sio mkuu mimi
Unayo kama hayo Cheusi MangaraSisi wenye matiti makubwa inabidi tuyapunguze sasaView attachment 1707730
Huwenda wanafunzi wake wamehusika