Nigendako
JF-Expert Member
- Dec 1, 2017
- 23,296
- 122,440
Umeamka salama shunie? Hali ya hewa iko vipi hapo?He he
Umeamka salama shunie? Hali ya hewa iko vipi hapo?He he
Nimeamka poa baba wawili vipi weweUmeamka salama shunie? Hali ya hewa iko vipi hapo?
Huku ni poa kabsa Shunie, Tumshukuru MuumbaNimeamka poa baba wawili vipi wewe
Huku ni joto kwa kwenda mbele
Nitakuja kuwatembelea ukoHuku ni poa kabsa Shunie, Tumshukuru Muumba
Huku kuna kiubaridi kwa umbali, poleni sana
Nmekumis nisiwe muongooNitakuja kuwatembelea uko
MmhNmekumis nisiwe muongoo
Walahi na namanishaaa
Alyeikum salaam.. Heri sheikhAsalaam Alyeikum
Inshaallah na kwako piaMwenyezi Mungu atujaalie siku njema
Njema mkuu, umepotea sanaNpo,habari ya masiku
Mkuu kwani uko pande zip?...basi tunavyowaoneaga wivu watu wa Dar yaani utasema bao komichi
Hongera, una hekima sana
Mimi ndio maana maisha yangu yana amani sana sitaki kufatilia maisha ya mtu mwingine anafanya nini atajua mwenyewe na maisha yake
Sasa wewe unafatiliaje maisha yangu yako sitaki hata kujua unavyoishi
Mimi nafatilia maisha ya babe wangu tundio anayenihusu
Muwe na usiku mwema damu ya Yesu iwalindeView attachment 1687745
Heri heri sheikh, kwemaAlyeikum salaam.. Heri sheikh