Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,077
- 464,004
Hayupo JoshWadau hivi bado yule msichana portable, curvaceous na mrembo ambaye ni SHUNIE yupo bado humu ndani? namimisi sana kwani miaka ya 2015 au 2016 aliteka sana hisia zangu.
Hayupo JoshWadau hivi bado yule msichana portable, curvaceous na mrembo ambaye ni SHUNIE yupo bado humu ndani? namimisi sana kwani miaka ya 2015 au 2016 aliteka sana hisia zangu.
HahhahaDah ha ha ha usinifanyie hivyo
Shunie kwema mama? Nilikumisi sana ujue.Hayupo Josh
Kweli?Huku ni kama kila mtu na mtuwe
Hivi magazeti na je wajua haujaviona mama yangu umeona mambo mengineHuku ni kama kila mtu na mtuwe



Kwema Josh vipi weweShunie kwema mama? Nilikumisi sana ujue.
Salama tu Shunie.Kwema Josh vipi wewe
Habari za kuadimika
Khaaa nakwambia huwa umenifananisha sijawahi ishi uko bado tu huaminiSalama tu Shunie.
Bado upo Tabata?
Nilikuwa najua unakaa Tabata Shunie. I'm sorry my world.Khaaa nakwambia huwa umenifananisha sijawahi ishi uko bado tu huamini
Usijali Josh tabata napitaga tu sijawahi ishi kabisaNilikuwa najua unakaa Tabata Shunie. I'm sorry my world.
Alaa kumbe
Duuu, ndiyo mana mchina amepata wateja wengi
Nalikubali hilo, khaaa
Muwe mnajiamini
Wazima moud za weweNatumai nyote ni wazima