Makapuku Forum

Makapuku Forum

Uwongo!!! Alimkandamiza kipa wa simba SIO washabiki
e903d20bee59dec0d188c541d12c7578.jpg

FC Vyura
.......
 
Habari wakapuku wenzangu...nina jambo,,, na jambo lenyewe ni hili..

Atakaekuwa tayari ani P.M Inshaallah..

SIFA ZA MKE MTARAJIWA NINAYEMUHITAJI...

1. Awe na hofu na MUNGU.

2. Awe na UPENDO wa kweli bila kujali hali ya mtu.

3. Awe na MOYO wa huruma na KUSAMEHE kwasababu hakuna binadamu aliyekamilika.

4. Awe na MAWAZO ya KIMAENDELEO na si mawazo Hasi.

5. Awe mwenyeji wa ZANZIBAR (Znzbar au Pemba).

6. Awe MUISLAMU thabiti.


SIFA ZA KIUMBO/KIMUONEKANO.

1. Awe na MIAKA 20-23.

**(Mimi nina 26 yrs)

2. Awe MWEUPE.

3. Awe MREFU.

4. Awe MODO (Si Mnene wala si Mwembamba...yani Saizi ya Kati).

5. Awe anapenda KUJISTIRI na Mavazi ya Heshima.

6. Awe na FIGURE (Hips Kidgo.. Mashaallah)

7. Awe hajawahi kuingia LEBA.

8. Chuchu saa6.




INSHAALLAH...Kwa Uwezo Wake Ntampata MKE MWEMA na Tunayeendana...%%

Amin.
Huku wameolewa wote
 
Msindikizaji noma

Watu wawili walikwenda stesheni ya reli wakakuta tren ndio inaondoka

Ili kuiwahi wakaanza kuikimbiza mmoja akafanikiwa kuipata

Akabaki alieachwa akaanza kucheka kwa saut kubwa kiasi kwamba watu wakaanza kujaa kumuuliza kulikoni kicheko kile?

Mtu yule akajibu aliepanda alikua ananisindikiza mimi

Ilibidi umati uliomzunguka uungane nae kwenye kicheko yule jamaa alieachwa na treni
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom