Makapuku Forum

Makapuku Forum

7e1fe02342200d17413413404da1b623.jpg
 
Habari wakapuku wenzangu...nina jambo,,, na jambo lenyewe ni hili..

Atakaekuwa tayari ani P.M Inshaallah..

SIFA ZA MKE MTARAJIWA NINAYEMUHITAJI...

1. Awe na hofu na MUNGU.

2. Awe na UPENDO wa kweli bila kujali hali ya mtu.

3. Awe na MOYO wa huruma na KUSAMEHE kwasababu hakuna binadamu aliyekamilika.

4. Awe na MAWAZO ya KIMAENDELEO na si mawazo Hasi.

5. Awe mwenyeji wa ZANZIBAR (Znzbar au Pemba).

6. Awe MUISLAMU thabiti.


SIFA ZA KIUMBO/KIMUONEKANO.

1. Awe na MIAKA 20-23.

**(Mimi nina 26 yrs)

2. Awe MWEUPE.

3. Awe MREFU.

4. Awe MODO (Si Mnene wala si Mwembamba...yani Saizi ya Kati).

5. Awe anapenda KUJISTIRI na Mavazi ya Heshima.

6. Awe na FIGURE (Hips Kidgo.. Mashaallah)

7. Awe hajawahi kuingia LEBA.

8. Chuchu saa6.




INSHAALLAH...Kwa Uwezo Wake Ntampata MKE MWEMA na Tunayeendana...%%

Amin.
 
Luis suarez = 40

C. Ronaldo = 35

Lionel messi = 26

Kubali kataa kiwango cha messi kinashuka sana laliga
Fuatilia vizuri soka mkuu acha habari za kusimuliwa.
Kabla ya Suarez, Messi alikuwa anacheza kama "false striker" lakini baada ya Suarez amekuwa akitokea deep row kama winga wa kulia. Hii imemfanya asiingie mara kwa mara eneo la hatari na kumfanya asitupie sana na ndo maana amekuwa ana assist zaidi.
 
Kiwango kinashuka kivip wakat assist machine ni yeye istoshe Messi anaanzia nyuma anapandisha timu
Kama huangaliag mechi za Barcelona piga kimya
J
7d5fa988228a7e6f10cc977d3333ee0e.jpg
Jamaa hajui mpira!!!
Ni km Yanga mbele kuna Tamblwe & Ngoma lazima wagawane magoli ..Tambwe kamzidi Ngoma magoli lkn kiwango cha Ngoma ni balaaa.....

...........
 
Fuatilia vizuri soka mkuu acha habari za kusimuliwa.
Kabla ya Suarez, Messi alikuwa anacheza kama "false striker" lakini baada ya Suarez amekuwa akitokea deep row kama winga wa kulia. Hii imemfanya asiingie mara kwa mara eneo la hatari na kumfanya asitupie sana na ndo maana amekuwa ana assist zaidi.
mkuu huyo asikuchanganye
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom