eden kimario
JF-Expert Member
- Jun 13, 2015
- 10,356
- 16,400
Hebu jaribu kwa faiza fyox*Habari wakapuku wenzangu...nina jambo,,, na jambo lenyewe ni hili..
Atakaekuwa tayari ani P.M Inshaallah..
SIFA ZA MKE MTARAJIWA NINAYEMUHITAJI...
1. Awe na hofu na MUNGU.
2. Awe na UPENDOwa kweli bila kujali hali ya mtu.
3. Awe na MOYOwa huruma na KUSAMEHE kwasababu hakuna binadamu aliyekamilika.
4. Awe na MAWAZO ya KIMAENDELEO na si mawazo Hasi.
5. Awe mwenyeji wa ZANZIBAR (Znzbar au Pemba).
6. Awe MUISLAMU thabiti.
SIFA ZA KIUMBO/KIMUONEKANO.
1. Awe na MIAKA 20-23.
**(Mimi nina 26 yrs)
2. Awe MWEUPE.
3. Awe MREFU.
4. Awe MODO (Si Mnene wala si Mwembamba...yani Saizi ya Kati).
5. Awe anapenda KUJISTIRI na Mavazi ya Heshima.
6. Awe na FIGURE(Hips Kidgo.. Mashaallah)
7. Awe hajawahi kuingia LEBA.
8. Chuchu saa6.
INSHAALLAH...Kwa Uwezo Wake Ntampata MKE MWEMA na Tunayeendana...%%
Amin.
ngoma huyuhuyu aliyetolewa na al ahlyJJamaa hajui mpira!!!
Ni km Yanga mbele kuna Tamblwe & Ngoma lazima wagawane magoli ..Tambwe kamzidi Ngoma magoli lkn kiwango cha Ngoma ni balaaa.....
Donald Trump hawezi kuwa Raisi wa USADonald trump amesema huenda asiwe na maelewano mazuri na waziri mkuu wa england david cameroon kama akichaguliwa kua rais wa marekani baada ya waziri mkuu huyo kumwita ni mjinga na mbaguzi
Cameroon aligoma kufuta kauli yake hiyo
Acha unazi wwngoma huyuhuyu aliyetolewa na al ahly
Mbona Jambilo ana avatar ya kike wakati yeye dume!!!kwa nini werrason si uangalie photo kwenye profile yangu!
Kuwa rais inawezekana sema ni ngumu sanaDonald Trump hawezi kuwa Raisi wa USA
Kwa sababu saiv timu ina forward ye anachezesha na kuassist.Luis suarez = 40
C. Ronaldo = 35
Lionel messi = 26
Kubali kataa kiwango cha messi kinashuka sana laliga
Ok, offsideNimeotea
Powaz, za kazi???Habar ya jion wapendwa??
Tanga kubwa sheikh, upo wapi weye?Poa shem.
Karibu Tanga.
Mbona hii hamja-like???Habari wakapuku wenzangu...nina jambo,,, na jambo lenyewe ni hili..
Atakaekuwa tayari ani P.M Inshaallah..
SIFA ZA MKE MTARAJIWA NINAYEMUHITAJI...
1. Awe na hofu na MUNGU.
2. Awe na UPENDOwa kweli bila kujali hali ya mtu.
3. Awe na MOYOwa huruma na KUSAMEHE kwasababu hakuna binadamu aliyekamilika.
4. Awe na MAWAZO ya KIMAENDELEO na si mawazo Hasi.
5. Awe mwenyeji wa ZANZIBAR (Znzbar au Pemba).
6. Awe MUISLAMU thabiti.
SIFA ZA KIUMBO/KIMUONEKANO.
1. Awe na MIAKA 20-23.
**(Mimi nina 26 yrs)
2. Awe MWEUPE.
3. Awe MREFU.
4. Awe MODO (Si Mnene wala si Mwembamba...yani Saizi ya Kati).
5. Awe anapenda KUJISTIRI na Mavazi ya Heshima.
6. Awe na FIGURE(Hips Kidgo.. Mashaallah)
7. Awe hajawahi kuingia LEBA.
8. Chuchu saa6.
INSHAALLAH...Kwa Uwezo Wake Ntampata MKE MWEMA na Tunayeendana...%%
Amin.
Senkyu TichaFuatilia vizuri soka mkuu acha habari za kusimuliwa.
Kabla ya Suarez, Messi alikuwa anacheza kama "false striker" lakini baada ya Suarez amekuwa akitokea deep row kama winga wa kulia. Hii imemfanya asiingie mara kwa mara eneo la hatari na kumfanya asitupie sana na ndo maana amekuwa ana assist zaidi.
Trump asiposababisha vita ya tatu ya Dunia sijui....hapo kitakapokuja kipindi cha kulia na kusaga menoDonald trump amesema huenda asiwe na maelewano mazuri na waziri mkuu wa england david cameroon kama akichaguliwa kua rais wa marekani baada ya waziri mkuu huyo kumwita ni mjinga na mbaguzi
Cameroon aligoma kufuta kauli yake hiyo
Sure....ze sambode iz lavud hia