Pachangamshe na ile miguu ya kupenda unangiza miguu yote miwili
Kumepoa humu
Pachemshee
Kumepoa humu
Mixer rimoti tatu
Chupa ya kijaniIli ugundue nini
Pachangamshe na ile miguu ya kupenda unangiza miguu yote miwili









Ngoja nipachemshe ndio nimekuja sasaPachemshee

HahahahahahChupa ya kijani
Hahaha umeona eeh, na miguu yenyewe ndio ileeeeeeeee
Baba wawili ulipopashika kwenye kupenda naingiza miguu yote miwili
Akili za heinekenn bado sanaaa tusubiri weekend uko![]()

HahahahahahaHahaha umeona eeh, na miguu yenyewe ndio ileeeeeeeee![]()


sisikii sioni nimezama kwenye huba 
Hahahhahahah akili za chupa ya kijani bwana sasa hivi naanzaje kupost hivyoNa ile simu ipo juu ya![]()
Hahahah wanasema mapenzi upofu shunie, hauambiwi wala hausikii chochoteHahahahahaha
Dah mapenzi kitu kingine jamani eti naingiza miguu yote nakupenda weeeehsisikii sioni nimezama kwenye huba
![]()
Hahahaha hadi chupa za kijani zikolee ndio tuone zile rimoti eehHahahhahahah akili za chupa ya kijani bwana sasa hivi naanzaje kupost hivyo
Yaani ukiwa na chupa ya kijani unajiamini mnooo sijui huwa najikuta nani kinachonijia ni hikohiko
Hahaha yaani baba wawili siambiwi wala sisikii chochote yaani me napendaa tuuuu yaani napendaaaHahahah wanasema mapenzi upofu shunie, hauambiwi wala hausikii chochote



