LENGO LIWE NI KUKUBALI YAISHE TU.Mkuu kwanini aombe msamaha??? Kwani sio kweli???
Fresh, ila sipati picha UEFA tukishindwa kuchukuajinamizi la Barcelona bado linakusumbua
Habar yako mkuu
Bingwa wa UEFA ni Atletico de Madrid na atawapiga mapema ili mbeleko kama za mwaka juzi zikomeFresh, ila sipati picha UEFA tukishindwa kuchukuasijui tutaziweka wapi sura zetu!
LABDA KAMA NI KICK SAWA. si unajua tena usupastaakwani kaongea uongo upi Hao nao wanatafuta kick Au mshayasahau ya Beyonce na Jigga baadae ikaonekana walitengeneza skendo
Mbona mi nasemaga mkuu?? Au na mie ni me??basi wewe ni Me maana wanawake hawasemagi neno (mkuu).
kuhusu kujiunga humu juzi si kweli sababu hata kwenye orodha ya makapuku upo chini yangu
og aiseew nilijaribu kama ushaur tu vp kama tutaweza kuanzisha groap la whatsApp au vpLABDA KAMA NI KICK SAWA. si unajua tena usupastaa
Bingwa wa UEFA ni Atletico de Madrid na atawapiga mapema ili mbeleko kama za mwaka juzi zikome
Kuna kampen napiga huku vip kama tunaweza kuanzisha groap la WhatsApp
Hivi kwann nyie mashabiki wa Barca mnatuombea mabaya hv?
Mbona mi nasemaga mkuu?? Au na mie ni me??
adui yako muombee njaa
Hivi kwann nyie mashabiki wa Barca mnatuombea mabaya hv?
Jaman mnaona hiii kampeni jamanadui yako muombee njaa
Kuna kampen napiga huku vip kama tunaweza kuanzisha groap la WhatsApp
wazo zuri ila hapo mwanzo kabla ya Whatsap kujulikana chit chat likikuwa ni jukwaa lililowika saaaana ila baada ya kutokea Wasap akavuruga kila kitu yani kwa siku comment moja au lisichangiwe kabisa Hvyo shukuru Kwa kuanzishwa Makapuku Forum sababu imetuleta pamojaog aiseew nilijaribu kama ushaur tu vp kama tutaweza kuanzisha groap la whatsApp au vp
COme on ibrahim lam closely interested with you also!og aiseew nilijaribu kama ushaur tu vp kama tutaweza kuanzisha groap la whatsApp au vp
Ni kweli jaman ila ni mtazamo wang tuwazo zuri ila hapo mwanzo kabla ya Whatsap kujulikana chit chat likikuwa ni jukwaa lililowika saaaana ila baada ya kutokea Wasap akavuruga kila kitu yani kwa siku comment moja au lisichangiwe kabisa Hvyo shukuru Kwa kuanzishwa Makapuku Forum sababu imetuleta pamoja
NI MTIZAMO TU
OK inmy no au me 0767344840COme on ibrahim lam closely interested with you also!
wewe unachapiaga la ziada kipindi cha miaka ya 1961 suruali walivaa wanaume wanawake walivaa sket brauz magauni Pasipo kusahau underskirt ila Karne hii wanawake ni Trouser kwa kwenda mbele japo haiondoi jinsia kuwa watabadilika sababu Miondoko yao inajulikana hvyo hata na we we ukiiga neno mkuu hauwez badilisha lafudhi yako ya Aku, yaani, jamanii mwenzenu. n.k
Kwani umetumia vigezo gani kuona kuwa mwanamke hapaswi kuita mkuu??wewe unachapiaga la ziada kipindi cha miaka ya 1961 suruali walivaa wanaume wanawake walivaa sket brauz magauni Pasipo kusahau underskirt ila Karne hii wanawake ni Trouser kwa kwenda mbele japo haiondoi jinsia kuwa watabadilika sababu Miondoko yao inajulikana hvyo hata na we we ukiiga neno mkuu hauwez badilisha lafudhi yako ya Aku, yaani, jamanii mwenzenu. n.k
YOU MAKE ME HAPPYwewe unachapiaga la ziada kipindi cha miaka ya 1961 suruali walivaa wanaume wanawake walivaa sket brauz magauni Pasipo kusahau underskirt ila Karne hii wanawake ni Trouser kwa kwenda mbele japo haiondoi jinsia kuwa watabadilika sababu Miondoko yao inajulikana hvyo hata na we we ukiiga neno mkuu hauwez badilisha lafudhi yako ya Aku, yaani, jamanii mwenzenu. n.k