Jimena
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 25,935
- 96,117
Nmeongeza 1 [emoji28]Sio lazima tufahamiane, tukielewana inatosha sana
........................
Kama sikosei nakumbuka nilipewa ulezi wa huu uziHabari wana JF
Habari Makapuku wenzangu
Matumaini yangu wote mko poa kabisa.
Uzi huu ni kwaajili ya makapuku wote. Lengo ni kujadili changamoto zinazotukabili, pia Kupeana support katika mambo yetu hapa JF. Tupeane mbinu za kukabiliana na mambo yote humu.
Makapuku natumaini nyote tutashirikiana katika jambo hapa JF. Bila kumsahau founder wa makapuku Bitoz shukrani kwake
Karibu sana makapuku katika mjadala. Wengine nitawaongeza hapo baadae.
Karibu sana
Nakumbuka kuna mahali tulipishana sana kwenye uzi wa uwepo wa Mungu nadhani...
Ndio ni lazima tukubaliane kutokukubaliana, hakuna ushahidi wa uwepo wake ndio maana mi mpaka leo sijui kama yupo au hayupo japo kila kitu kinaonyesha vile HAYUPONakumbuka kuna mahali tulipishana sana kwenye uzi wa uwepo wa Mungu nadhani...
Jr[emoji769]
Ok asante mitazamo haiwezi kufanana.. Japo kikishatajwatajwa sana basi uwepo wake huwa halisi...Ndio ni lazima tukubaliane kutokukubaliana, hakuna ushahidi wa uwepo wake ndio maana mi mpaka leo sijui kama yupo au hayupo japo kila kitu kinaonyesha vile HAYUPO
Sent using Jamii Forums mobile app
Dada la dada..........
Ongeza cha pili....
Ni kweli mkuuKama sikosei nakumbuka nilipewa ulezi wa huu uzi
Jr[emoji769]
Ngoja basi nasisi tuzidi kutajataja vitu ambavyo sio halisi ili viwe halisiOk asante mitazamo haiwezi kufanana.. Japo kikishatajwatajwa sana basi uwepo wake huwa halisi...
Jr[emoji769]
In vast mentioningNgoja basi nasisi tuzidi kutajataja vitu ambavyo sio halisi ili viwe halisi
Sent using Jamii Forums mobile app