micro endoscope Member Joined Apr 30, 2020 Posts 60 Reaction score 95 May 2, 2020 #380,741 Tena ukute wengine ni wazazi lakini hawapendi mafanikio yetu. Rafiki ndo anakuwa kipaumbele mshauri na mwenye kukupa dira ya kimaisha. NB. Si kila rafiki ni mwema. Sakayo said: Marafiki wamekuwa wakisimama nasi pengine zaidi ya ndugu! Click to expand... Sent using Jamii Forums mobile app
Tena ukute wengine ni wazazi lakini hawapendi mafanikio yetu. Rafiki ndo anakuwa kipaumbele mshauri na mwenye kukupa dira ya kimaisha. NB. Si kila rafiki ni mwema. Sakayo said: Marafiki wamekuwa wakisimama nasi pengine zaidi ya ndugu! Click to expand... Sent using Jamii Forums mobile app
Depal JF-Expert Member Joined Nov 26, 2018 Posts 50,524 Reaction score 203,265 May 2, 2020 #380,742 Sakayo said: Utazeeka mapema dear, kunjua sura hiyo Click to expand... βΊβΊβΊ sawa dada
Depal JF-Expert Member Joined Nov 26, 2018 Posts 50,524 Reaction score 203,265 May 2, 2020 #380,743 Mjep said: Keshatia timu mwenyewe haya sasa kazi kweli kweli Click to expand... We haya tu π
Behaviourist JF-Expert Member Joined Apr 8, 2016 Posts 39,924 Reaction score 95,729 May 2, 2020 #380,744 Sakayo said: Huku hakuna kibonge Click to expand... Ni wivu tuuu! Kuingilia yasiyokuhusu wala usiyoyajua
Sakayo said: Huku hakuna kibonge Click to expand... Ni wivu tuuu! Kuingilia yasiyokuhusu wala usiyoyajua
Sakayo JF-Expert Member Joined Sep 10, 2015 Posts 56,368 Reaction score 161,463 May 2, 2020 #380,745 micro endoscope said: Tena ukute wengine ni wazazi lakini hawapendi mafanikio yetu. Rafiki ndo anakuwa kipaumbele mshauri na mwenye kukupa dira ya kimaisha. NB. Si kila rafiki ni mwema. Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... Ndio Mkuu Sio kila rafiki ni mwema, na tunawahitaji pia hao wasio wema ili watupe changamoto za kusonga mbele, za kufika pale ambapo waliamini hatutafika!! Kuna marafiki ambao ni baraka kwetu kwa kweli
micro endoscope said: Tena ukute wengine ni wazazi lakini hawapendi mafanikio yetu. Rafiki ndo anakuwa kipaumbele mshauri na mwenye kukupa dira ya kimaisha. NB. Si kila rafiki ni mwema. Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... Ndio Mkuu Sio kila rafiki ni mwema, na tunawahitaji pia hao wasio wema ili watupe changamoto za kusonga mbele, za kufika pale ambapo waliamini hatutafika!! Kuna marafiki ambao ni baraka kwetu kwa kweli
Sakayo JF-Expert Member Joined Sep 10, 2015 Posts 56,368 Reaction score 161,463 May 2, 2020 #380,746 Behaviourist said: Ni wivu tuuu! Kuingilia yasiyokuhusu wala usiyoyajua Click to expand... Hahahahaah Sema ukweli
Behaviourist said: Ni wivu tuuu! Kuingilia yasiyokuhusu wala usiyoyajua Click to expand... Hahahahaah Sema ukweli
Sakayo JF-Expert Member Joined Sep 10, 2015 Posts 56,368 Reaction score 161,463 May 2, 2020 #380,747 Depal said: sawa dada Click to expand... Ewaaaaa
M Mjep JF-Expert Member Joined Oct 28, 2014 Posts 11,721 Reaction score 34,880 May 2, 2020 #380,748 Depal said: We haya tu π Click to expand... Kako simple simple........ Hakanaga makuu.......
Depal JF-Expert Member Joined Nov 26, 2018 Posts 50,524 Reaction score 203,265 May 2, 2020 #380,749 Mjep said: Kako simple simple........ Hakanaga makuu....... Click to expand... Hahaha Umefanya mpaka nimeendelea kuimba huku
Mjep said: Kako simple simple........ Hakanaga makuu....... Click to expand... Hahaha Umefanya mpaka nimeendelea kuimba huku
Shunie JF-Expert Member Joined Aug 14, 2016 Posts 157,081 Reaction score 464,013 May 2, 2020 #380,750 Sakayo said: Mbona mimi unanivumilia eti Click to expand... Umeshasema wewe jamani
Shunie JF-Expert Member Joined Aug 14, 2016 Posts 157,081 Reaction score 464,013 May 2, 2020 #380,751 Sakayo said: Hahahahaha Maji ya malimao yanalewesha eeehh Click to expand... Yanawasha jamani kooni
Shunie JF-Expert Member Joined Aug 14, 2016 Posts 157,081 Reaction score 464,013 May 2, 2020 #380,752 Sakayo said: Hallelujah Huwa unaelewa sema ukivuruge tuu Click to expand... Hahhaa vingine vigumu kueleweka
Sakayo said: Hallelujah Huwa unaelewa sema ukivuruge tuu Click to expand... Hahhaa vingine vigumu kueleweka
Shunie JF-Expert Member Joined Aug 14, 2016 Posts 157,081 Reaction score 464,013 May 2, 2020 #380,753 Depal said: sawa dada Click to expand... Kwahiyo ulitaka kumpiga money penny
Depal JF-Expert Member Joined Nov 26, 2018 Posts 50,524 Reaction score 203,265 May 2, 2020 #380,754 Shunie said: Kwahiyo ulitaka kumpiga money penny Click to expand... ππππ umeanza!! Me nishasahau bwana
Shunie said: Kwahiyo ulitaka kumpiga money penny Click to expand... ππππ umeanza!! Me nishasahau bwana
Shunie JF-Expert Member Joined Aug 14, 2016 Posts 157,081 Reaction score 464,013 May 2, 2020 #380,755 Je wajua inakujia na shunie shunie kibonge cheusi mangala mtoto mlito kiboko kabisa
Shunie JF-Expert Member Joined Aug 14, 2016 Posts 157,081 Reaction score 464,013 May 2, 2020 #380,756
Shunie JF-Expert Member Joined Aug 14, 2016 Posts 157,081 Reaction score 464,013 May 2, 2020 #380,757
Shunie JF-Expert Member Joined Aug 14, 2016 Posts 157,081 Reaction score 464,013 May 2, 2020 #380,758
Shunie JF-Expert Member Joined Aug 14, 2016 Posts 157,081 Reaction score 464,013 May 2, 2020 #380,759
Shunie JF-Expert Member Joined Aug 14, 2016 Posts 157,081 Reaction score 464,013 May 2, 2020 #380,760 Depal said: umeanza!! Me nishasahau bwana Click to expand... Hahaha ujue nikikuona tu nakumbuka nabaki nacheka
Depal said: umeanza!! Me nishasahau bwana Click to expand... Hahaha ujue nikikuona tu nakumbuka nabaki nacheka