Makapuku Forum

Makapuku Forum

Baba wawili maisha ndio hayahaya ujue kuna mda na stress zangu sanaa yaani sana lakini kuna mda acha nifurahi tu ndio imeshakuwa hivi
Ni kweli kabsa, maisha ukiyafikilia sana lazima yakupe stress,unapo pata muda wa kufurahi kama hivi kidogo inakutoa kwenye lindi la mawazo na kukufanya ujione mtu mpya hata kama hauna kila kitu unajiona bonge la tajiri
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom