Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,974
Ndiwooo utake usitake hii kiboko kabisa


hii ya sasa hivi umetisha mtt mlito
hana huo ujanja


Kweli nakwambia sasa unamtext mtu siku ya tatu leo hajafungua text na huku makapuku anakudanganya kama mtoto si ndio kuachwa kwenyewe baba wawili
hii ya sasa hivi umetisha mtt mlito




nani anateseka baba wawili kwa kiboko kabisaKweli nakwambia sasa unamtext mtu siku ya tatu leo hajafungua text na huku makapuku anakudanganya kama mtoto si ndio kuachwa kwenyewe baba wawili


usikute mjomba anajibu hizo text kwenye ile namba ya yule Shunny na sio Shunie..


Unatabia mbaya, unataka watu wateseke kumbenani anateseka baba wawili kwa kiboko kabisa


usikute mjomba anajibu hizo text kwenye ile namba ya yule Shunny na sio Shunie..
Mjombaa hachelew kumix mafile![]()



Inawezekana baba wawili ujue
Unatabia mbaya, unataka watu wateseke kumbe![]()


Kiboko kabisa ni kama maji baba wawili usipoyanywa utayaoga

basi dj atu bless na wimbo wa Marioo -Aya
Inawezekana baba wawili ujue
Kiboko kabisa ni kama maji baba wawili usipoyanywa utayaoga



hufai wewe, mwisho wa siku hyo ya maji nayo utaiongezea kwenye a.k.a yako
hufai wewe, mwisho wa siku hyo ya maji nayo utaiongezea kwenye a.k.a yako




Umefanya la maana baba wawili kuniongezea
Vibe limeanza mapema leo mtoto mlito![]()

Baba wawili maisha ndio hayahaya ujue kuna mda na stress zangu sanaa yaani sana lakini kuna mda acha nifurahi tu ndio imeshakuwa hiviNi kweli kabsa, maisha ukiyafikilia sana lazima yakupe stress,unapo pata muda wa kufurahi kama hivi kidogo inakutoa kwenye lindi la mawazo na kukufanya ujione mtu mpya hata kama hauna kila kitu unajiona bonge la tajiriBaba wawili maisha ndio hayahaya ujue kuna mda na stress zangu sanaa yaani sana lakini kuna mda acha nifurahi tu ndio imeshakuwa hivi


Je wajua inakujia na shunie shunie kibonge cheusi mangalaaisee
mtoto mlito kiboko kabisa haya ni maji usipoyanywa utayaoga 
Acha kabisa huwa nasahau kidogo magumu yangu ninayopitiaNi kweli kabsa, maisha ukiyafikilia sana lazima yakupe stress,unapo pata muda wa kufurahi kama hivi kidogo inakutoa kwenye lindi la mawazo na kukufanya ujione mtu mpya hata kama hauna kila kitu unajiona bonge la tajiri![]()