Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,636
Kwangu Swaaf TUJamani hebu kwa mnao tumia azam mnisaidie maana kuanzia saa kumi mpaka sasa haioneshi. Ni kwangu tu au na kwa wengine inastack balaa mpaka nimechoka
Labda weather tu
.............
Kwangu Swaaf TUJamani hebu kwa mnao tumia azam mnisaidie maana kuanzia saa kumi mpaka sasa haioneshi. Ni kwangu tu au na kwa wengine inastack balaa mpaka nimechoka
Sawa papaaUkuye no problemaa sherii
Niko vzurNi pouwa
Habar ya wewe??
mhh mbona hivyo!Ukuye no problemaa sherii
Huyu nyani alipatwa na fistula??ama?
Namshkuru Mungu ibada ili kuwa nzuri na nilibarikiwa mnooooNiko vzur
Abar za church leo
Upi sasa? Au wa T pain?Niko vzuri, napuyanga puyanga tuu
Naskikza uke wimbo wa wa 5 oklok
Teh teh
Maana nme ona mkuu unaulizia updates apo
Apo umetsha ukiinga mzgon una pga mzigo , ukipumzika hadi unasahau dunia
Uko makin bro
maisha haya usikubali mambo yakupite mkuu.Poa shemeji.Mie mzima my shem
UMENIKUMBUSHA ILE TOPIC WEATHER AND CLIMATE.Kwangu Swaaf TU
Labda weather tu
.............
Ule wa enz hzo, aaah ni shdaUpi sasa? Au wa T pain?
Unakuya lini sheriiSawa papaa

Ndugu yake Ngedere Ungabu mtafite afafanueHuyu nyani alipatwa na fistula??ama?