Makapuku Forum

Makapuku Forum

Mambo yanaenda salama kabsa binamu, sijui huko? Bado unataka ulime tena koroshow binamu?

Habahahha, binamu bhana, korosho ni za kudumu haziepukiki, ila kwa vile sijakamilishiwa malipo yangu basi nitafanya kangomba tu hakuna namna.

Ukiwa na furaha naweza kukuanganisha na wafanyabiashara wa kangomba ushirikiano nao
 
Habahahha, binamu bhana, korosho ni za kudumu haziepukiki, ila kwa vile sijakamilishiwa malipo yangu basi nitafanya kangomba tu hakuna namna.

Ukiwa na furaha naweza kukuanganisha na wafanyabiashara wa kangomba ushirikiano nao
Hahah binamu bhana, hizo pesa tulishazisamehe hakuna namna,watu wanasema ulionekana mjini kwenye happy birthday ya Sepanga
 
Habahahha, binamu bhana, korosho ni za kudumu haziepukiki, ila kwa vile sijakamilishiwa malipo yangu basi nitafanya kangomba tu hakuna namna.

Ukiwa na furaha naweza kukuanganisha na wafanyabiashara wa kangomba ushirikiano nao
Ankooo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom