Makapuku Forum

Acha nikwambie tu
Hii siri ya moyo wangu
Hata nikificha mboni zitaniumbua aah
 
Acha nikuonyeshe kina na upama wa mapenzi yangu
Na uwe wangu wa milele niwe wako
 
Nishapitia mengi hadi nusu nijipige kitanzi nkachoropoka
 
Hayo majeraha uniuguze uniuguze
Illa acha nikwambie tu
Hii siri ya moyo wangu
Hata nikificha mboni zitaniumbua
 
Acha nikuonyeshe kina
Na upana wa mapenzi yangu
Na uwe wangu wa milele niwe wako
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…