Makapuku Forum

Acha nikwambie tu
Hii siri ya moyo wangu
Hata nikificha mboni zitaniumbua aah [emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8]
 
Acha nikuonyeshe kina na upama wa mapenzi yangu
Na uwe wangu wa milele niwe wako [emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8]
 
Acha nikuonyeshe kina na upama wa mapenzi yangu
Na uwe wangu wa milele niwe wako [emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8]
Mmmhh wimbo ule wa jux alio shuti China unaihusu..
 
Nishapitia mengi hadi nusu nijipige kitanzi nkachoropoka
 
Hayo majeraha uniuguze uniuguze
Illa acha nikwambie tu
Hii siri ya moyo wangu
Hata nikificha mboni zitaniumbua [emoji8][emoji8]
 
Acha nikuonyeshe kina
Na upana wa mapenzi yangu
Na uwe wangu wa milele niwe wako [emoji182][emoji182]
 
Kwako wee ndo sijiwezi [emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8]
 
Hata nyendo sina aah
Mbele sioni [emoji847][emoji847][emoji847][emoji847]
 
Nakupendaga wewe tu babe [emoji8][emoji8][emoji8][emoji8]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…