Makapuku Forum

Makapuku Forum

Hahahaha, sijawahi kupendwa, ila nimewahi na ninapenda sehemu ,sijui kama na yeye ananipenda km navyompenda
Acha uwongo mpaka kufikia umri huo hjjawahi kupendwa sasa huyo unayempenda si umfungukie tu ajue we mzee

Jamani kupendwa raha kupendwa kutamu hasa umpate anayekupenda unayempenda

Na hali ya hewa ya leo ni kula kunywa kama hamuendi kazini
 
Acha uwongo mpaka kufikia umri huo hjjawahi kupendwa sasa huyo unayempenda si umfungukie tu ajue we mzee

Jamani kupendwa raha kupendwa kutamu hasa umpate anayekupenda unayempenda

Na hali ya hewa ya leo ni kula kunywa kama hamuendi kazini
Hahahaha, huwezi amini sijawahi kupendwa labda sina SIFA za kupendwa

Huyu naye mpenda natamani nimwambie tatizo sasa....
 
Sasa we mzee ngoja nikupe mbinu wenzio madomo zege wenzako wakimpenda mtu hawawezi kumwambia huwa wanamwaga pesa yaani wanamwaga pesa ndio inaongea badala yake
Hahahaha, nazimwaga wapi sasa,barabarani au dampo? Hii mbinu yako Kali sana

Huyu nimpendae km ningepata namba yake ,ningefanya hivyo
 
Hahahaha, nazimwaga wapi sasa,barabarani au dampo? Hii mbinu yako Kali sana

Huyu nimpendae km ningepata namba yake ,ningefanya hivyo
Tunarudi palepale we mzee udomo zege wako mwaga hela uko na ujifanye kumuomba no sasa sio umuombe no uwe unasalimia salimia tu umwage mahela uko
 
Je wajua inakujia na shunie shunie kibonge cheusi mangala mtoto mlito

Je wajua inakujia kwa hisani ya huyu mzee mtuchake bila yeye wala nisingeiweka mana huwa naiweka nabaki pekee yangu na je wajua yangu
 
..
20190910_152904.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom