Makapuku Forum

Makapuku Forum

....huyu mrembo wangu naye hawezi kabisa kujua kuwa ile elfu ishirini na saba sio ya koroshow, ile ni malipo ya wastaafu wa jumuiya ya Afrika mashariki.
Nimeandikishwa kama mrithi, kila mwisho wa mwezi fungu linaingia.
Ujue binamu sasa hivi mimi niko kama bepalibeberu , maana fikiria hela zote za wastaafu, afu za koroshow kisha zile za Mo, zote nikilipwa unategemea nini!?

Unaijua yard yoyote inayouza magari mapya used!?

Salam kwa anko Lee kwa kupanga bajeti
Usisahau kunipa lift binamu
 
Back
Top Bottom