Makapuku Forum

Makapuku Forum

Salama binamu,huku hatujambo na tunaendelea vyema kabsa,sijui huko??

yale mambo ya kigambon hata mm yameniacha kinywa wazi binamu,bado na tafakari,,ngoja tumuulize Shunie na je wajua yake anaweza kuwa na majibu ya haya mambo binamu,wanasayansi kila siku wanagundua kitu kipya

..
Habari zake ninazo,na muda sio mrefu nimemuona,,hakuna kitu cha bure binamu,,kama una taka habar zake weka pesa[emoji2][emoji2]

...duh, ubinadamu kazi sana, hata wewe!!!!
Mimi hela ninayo na unajua sema bado iko kwenye process bank, tumepata naibu waziri mpya wa kilimo labda ataharakisha malipo
 
....nimeibiwa simu anko, wiki ijayo napata simu mpya toka duka la used phones. Nitakucheki

uUtani kando, Anko nahitaji maongezi na wewe, nakuja mjini na nauli sina
binamuuu simuu mbona cover niliikutaa kwa aunt yetu kibongee mwepesiiiii ......au cover imekoseaaa njia
 
Hahah binamu hizi story sasa,,telemundo wako ameshasema tayali mmelipwa

....huyu mrembo wangu naye hawezi kabisa kujua kuwa ile elfu ishirini na saba sio ya koroshow, ile ni malipo ya wastaafu wa jumuiya ya Afrika mashariki.
Nimeandikishwa kama mrithi, kila mwisho wa mwezi fungu linaingia.
Ujue binamu sasa hivi mimi niko kama bepalibeberu , maana fikiria hela zote za wastaafu, afu za koroshow kisha zile za Mo, zote nikilipwa unategemea nini!?

Unaijua yard yoyote inayouza magari mapya used!?

Salam kwa anko Lee kwa kupanga bajeti
 
Eeenh. [emoji134][emoji134][emoji134]
20190723_000046.jpg
 
Back
Top Bottom