Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,488
Unataka kuomba nini etiMrembo wangu huyo mzuri mzuri [emoji847]
Unataka kuomba nini etiMrembo wangu huyo mzuri mzuri [emoji847]
Mmbaki hapohapoEeenh kwahiyo sisi vibonge twende wapi eti
Salama mjombaa??Mjombaaa mjombaaaaaaaaaaaaa
Salama mjombaa??
Shikamoo kaka NingeSalama mjombaa??
Shikamoo sana binamu....nimeibiwa simu anko, wiki ijayo napata simu mpya toka duka la used phones. Nitakucheki
uUtani kando, Anko nahitaji maongezi na wewe, nakuja mjini na nauli sina
@ABJ...binamu mambo vipi ndugu yangu. Naamini ulikuwa na wikend nzuri.
Hivi jirani yako ambayo bahati nzuri ni my telemundo umemuona wiki hii, ??? Mambo ya Kigamboni yananichanganya sana, nilijua mjini mnatumia gesi kumbe na mkaa unatumika kutengeneza mbolea ya mgomba..
Shikamoo sana binamu
@ABJ
Salama binamu,huku hatujambo na tunaendelea vyema kabsa,sijui huko??...binamu mambo vipi ndugu yangu. Naamini ulikuwa na wikend nzuri.
Hivi jirani yako ambayo bahati nzuri ni my telemundo umemuona wiki hii, ??? Mambo ya Kigamboni yananichanganya sana, nilijua mjini mnatumia gesi kumbe na mkaa unatumika kutengeneza mbolea ya mgomba..
Habari zake ninazo,na muda sio mrefu nimemuona,,hakuna kitu cha bure binamu,,kama una taka habar zake weka pesa[emoji2][emoji2]..ewaaah, huyu ndo yeye wengine wote macho hayawaoni. Una habari zake?