Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,488
Hapana sio weweMimi huyoo?
Hapana sio weweMimi huyoo?
Binamu huyu anaweza kuja hapa na kusema kaachana na mambo ya koroshow
hata mmi naamin hivyo kabisa
Hahhahah...kwa hiyo ule msemo wa kunguru hafugiki hauna uhusiano na mahusiano ya kunguru eeeh!!!
Sawa mkuuhata mmi naamin hivyo kabisa
Mkulima wa kisasa bwana [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]..., hivi sikukwambiaga wakati ule nimekuja mjini kufanya window shopping ya bajaj mpya kwamba pale Moro nna maslahi kwenye mashamba ya tumbaku (na tumbaku pori pia).FYI, msimu wa korosho ukiisha naingia kwenye tumbaku na pamba, mkulima wa kisasa anayedhulumiwa na watu wa mjini
Wakihalalisha tumbaku pori unistue binamu..., hivi sikukwambiaga wakati ule nimekuja mjini kufanya window shopping ya bajaj mpya kwamba pale Moro nna maslahi kwenye mashamba ya tumbaku (na tumbaku pori pia).FYI, msimu wa korosho ukiisha naingia kwenye tumbaku na pamba, mkulima wa kisasa anayedhulumiwa na watu wa mjini
Alikuwa kwenye ule uzi wa Usiku wa manane..
Itabaki siri yangu mpaka utakaponiruhusuEeenh picha tena haya mambo nayaogopa
Naweza bisha kumbe kweli ukanianika
Morning TAlikuwa kwenye ule uzi wa Usiku wa manane..
Goodmorning shemela..
Ebu niambie ulipoipata tetraItabaki siri yangu mpaka utakaponiruhusu
Ndio! Au ukute alikuwa piemu anapigwa sound..Morning T
Ule uzi sakayo anaingia
Imebidi nikahakikishe kweli nimemkuta usiku wa mananeNdio! Au ukute alikuwa piemu anapigwa sound..
Alikuwa piemu eeh?Imebidi nikahakikishe kweli nimemkuta usiku wa manane