Transcend
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 20,553
- 63,059
Hata kesho! Leo lipo linafanyiwa service hapa The Wheels..Lini tunalipata sasa
Hata kesho! Leo lipo linafanyiwa service hapa The Wheels..Lini tunalipata sasa
Pm ya nini?Hahahaha,Mimi pia nakuogopa lkn hii iwe special mm na ww tu
Nakupenda Rihana wangu wa Tanga !Nilikuwa nakusalimia mimi jamaniii










































Msalimie sana mdogo wanguu jamaniNipo mjini kwa kina shunie na Lee
Namsalimia mama Naah usijali.Msalimie sana mdogo wanguu jamani
Asante mno baba NaahNamsalimia mama Naah usijali.
Hahahaha, hebu omba ruhusa unitumie hy nambaPm ya nini?
Nakupa namba za shunie kama yeye na lee wataniruhusu lakini..
Ha ha ha sijakesha bromzee mwenzangu kumbe umekesha humu?
Ha ha ha ha,unaongea na nani shunieunder eighteen bwana mnajikuta wazee![]()
Ikifika saa sita tu huo ni mkesha broHa ha ha sijakesha bro
Nipo shunie,hakuna aliyenitaka,mambo ya swaumu tuNani alikuteka jamani baba wawili wangu
Haongei na sisi BroHili swala namuachia Ninge aje alitolee kauli
aisee,mambo mengi bro,kuna kipindi inabd ubadiri usiku kuwa mchana,na mchana kuwa usikuIkifika saa sita tu huo ni mkesha bro


Anza kufanya mazoezi ya kutumia wiper..Hebu tuma tuu jamani, na Mungu akubariki.. Na hizi mvua acha kabisaaa


Hahah naelewa broaisee,mambo mengi bro,kuna kipindi inabd ubadiri usiku kuwa mchana,na mchana kuwa usiku![]()
Ndo niko kili driving hapaaAnza kufanya mazoezi ya kutumia wiper..![]()