Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,463
WoooiiiiHahhaaha au jlw uko
WoooiiiiHahhaaha au jlw uko
WoyooooKwani 14mil kitu gani bhana?
Niseme nini tena?Sema ukweli kabisaaa T
Woyoooooo
Na mm nataka mwanaume kama ww jamani
Aiseeee
Nafanya Door delivery kabisa mazeeeHahaha hahaha hahaha
D na a tenaaaa... Si ulinipa namba za gari wewe; hiyo zawadi yenyewe sijui naipata vipi
Woyoooo
Hebu fanya kweli jamanii! Mpaka nakufa nitakuwa nataja jina lako tuuu





Eeeeh! Taja jina la Bwana Yesu bhana..Woyoooo
Hebu fanya kweli jamanii! Mpaka nakufa nitakuwa nataja jina lako tuuu
Mtag tu bwana kwani nnHahahaa..
Namtag mmeo ujue
Lazima akufwe tuNafanya Door delivery kabisa mazeee
Uli upigwe kibuti sio!Mtag tu bwana kwani nn
Sema ukweli tuu jamaniNiseme nini tena?
Hebu mtag etiHahahaa..
Namtag mmeo ujue
Nampenda sana tuUli upigwe kibuti sio!
Hebu pendaneni huko bhana! Mungu aliagiza upendo.
Akifa sasa itakuwa hasara...!Lazima akufwe tu





KheeeeeAkifa sasa itakuwa hasara...!
Afanye hata kukojoa tuu kuliko kufa![]()
Naomba Mungu isiwe mapicha picha mimi... Hivi si unaujua mnuno wanguuNafanya Door delivery kabisa mazeee
Nini tena jamani
Najua mnuno wako...!Naomba Mungu isiwe mapicha picha mimi... Hivi si unaujua mnuno wanguu